Haroonricher
Member
- Jan 15, 2020
- 37
- 19
Habarini wanaJF,
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 32 ni mwajiriwa wa serikali na nipo katika ajira kwa miaka 10 sasa. Kutokana na changamoto na kero za ajira niliona kama sijiskii kubaki katika ajira yangu nikiwa natamani kujitegemea. Kwa hali hiyo nikaona njia pekee ya kuwa huru ni kuwa na self employment, yaani nijiajiri.
Nimeweza kuweka viakiba kujikusanya nikapata TSH. 34M (Milioni Thelasini na nne)
Naombeni ushauri wenu
(1) Je, hiki kiwango kinatosha kuamua kujitegemea?
(2) Je, ni biashara gani niifanye?
(3) Nitaweza kufanikiwa kimaisha kwa huo umri wa miaka 32?
Sijawahi kujishughulisha na biashara nyingine zaidi ya ufugaji kuku lakin si sana japo uzoefu ninao.. Msaada wa ushauri tafadhali.
Ushauri wako mzuri kwangu ndiyo pona pona yangu.
Mungu awabariki.
ASANTE
Mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 32 ni mwajiriwa wa serikali na nipo katika ajira kwa miaka 10 sasa. Kutokana na changamoto na kero za ajira niliona kama sijiskii kubaki katika ajira yangu nikiwa natamani kujitegemea. Kwa hali hiyo nikaona njia pekee ya kuwa huru ni kuwa na self employment, yaani nijiajiri.
Nimeweza kuweka viakiba kujikusanya nikapata TSH. 34M (Milioni Thelasini na nne)
Naombeni ushauri wenu
(1) Je, hiki kiwango kinatosha kuamua kujitegemea?
(2) Je, ni biashara gani niifanye?
(3) Nitaweza kufanikiwa kimaisha kwa huo umri wa miaka 32?
Sijawahi kujishughulisha na biashara nyingine zaidi ya ufugaji kuku lakin si sana japo uzoefu ninao.. Msaada wa ushauri tafadhali.
Ushauri wako mzuri kwangu ndiyo pona pona yangu.
Mungu awabariki.
ASANTE