chumachakavu
Member
- Oct 1, 2017
- 53
- 62
Nataka kununua gari kwa njia ya mtandao kutoka kampuni moja iliyopo Japan. Je usalama wa manunuzi kwa njia ya mtandao upoje. Pia vipi gharama za kutoa gari bandarini. Gari ninayotaka kununua ni Noah.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kama unahitaji Kununua gari Japana unaweza kuwasiliana na mimi Naweza kukusaidia katika kila hatua ila kwa gharama nafuu na kwa uwazi zaidi. Lakini Pia Ushauri mpaka gari lako linatoka Bandarini unalimiliki Tuwasiliane hapa 0712 390 200Nataka kununua gari kwa njia ya mtandao kutoka kampuni moja iliyopo Japan. Je usalama wa manunuzi kwa njia ya mtandao upoje. Pia vipi gharama za kutoa gari bandarini. Gari ninayotaka kununua ni Noah.
Unataka noah noah ipi Old Model au New Model? Usalama unategemea pia Hio kampuni japokuwa makampuni mengi sahivi usalama ni Mkubwa. Ukihitaji unaweza kuwasiliana na Mimi kwa namba hio 0712390200 Kampuni yoyote japan nakuleteaNataka kununua gari kwa njia ya mtandao kutoka kampuni moja iliyopo Japan. Je usalama wa manunuzi kwa njia ya mtandao upoje. Pia vipi gharama za kutoa gari bandarini. Gari ninayotaka kununua ni Noah.
Kama Makampuni tu yaliyoko Japan huna uhakika na usalama wake basi kwa mtu Bianfsi tena Mbongo ndio sikushauri kabisa. Ungetaja na Kampuni ingesaidia zaidi, ila kuna makampuni ambayo ni reliable kabisa kama vile Autorec, etc.Nataka kununua gari kwa njia ya mtandao kutoka kampuni moja iliyopo Japan. Je usalama wa manunuzi kwa njia ya mtandao upoje. Pia vipi gharama za kutoa gari bandarini. Gari ninayotaka kununua ni Noah.