Mawe kumi Stars vs Zambia niliyoyaona

Mawe kumi Stars vs Zambia niliyoyaona

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
Wakuu
1; Hemed Moroco ametuheshimisha! Ilihitaji muda kidogo kumuelewa, alianza taratibu na sasa anatishia kibarua cha kocha Amrouche!

2; Stars wameshinda lakini bado Zambia wamecheza mpira bila kupata matokeo!, ari na morali ya Stars imeimarika sana na wachezaji wanajituma sana ,pongezi kwa hilo.

3; Uchaguzi wa kuanza na Mudathir na na Mao ulikuwa sawa sana dakika 35 hivi za kwanza baada ya hapo ikawa wanapata tabu sana kulink pamoja, hii ni kutokana na kucheza karibu karibu sana hao wawili hasa Mao na kumpa tabu Mudathir sana.

4; kama kuna siku ambayo Mwamnyeto amecheza sana basi leo ni mojawapo! Alienda juu, akafata chini popote pale! Ooh so okay.⛏️⛏️

Mnyonge mnyongeni nafasi yake mpeni.


5; Stars wameimarika sana katika kuzuia mipira ya juu, ni changamoto ndogo ndogo sana ndiyo shida
Kumzuia patson Daka linapokuja swala la mipira ya juu sio easy task wajameni, jamaa anatisha hatari kama njaa ni vile ubora wa Ally Salim golini na mabeki otherwise tungeumia.

6; Ally salim! What a golie?
Alitulia kwa kiasi kikubwa sana ingawaje umbo lake nalo ni kikwazo kwake hasa mipira ya juu ilimpa shida sana .
Alituliza pressure ilipobidi na hata kupooza game inapotakiwa good game . Kuna michomo mikali mikali yeye aliidaka sio kutema😯😯

7; Feisal anacheza na pressure kichwani anakifukuza kivuli chake..! Atulie

8; Bacca ,defending as usually askari hana ratiba yeye mpe kazi atakufanyia, anaenjoy kuzuia a pure art of defending!

9: Barua anahitaji zaidi muda wa kucheza A good player.


10; Winga yule namba 7 mgongoni [kampamba] something like that.

Ni winga hatari sana ukifanya mzaha lusajo atalala amechoka sana sana🤣🤣

NB; Zanzibar finest kageuka Kilwa finest.
 
Hiyo timu siyo ya kuidhamini. Utashangaa mechi watakayocheza nyumbani, wanafungwa! Tena goli/magoli mepeesi!! Pale unapotamani wafanye vizuri, utashangaa wanavurunda.

Hiyo ndiyo Taifa Stars aka kichwa cha mwendawazimu. All in all, nawapongeza kwa ushindi.
 
Timu haiwleweki inashambulia vipi,kila hovyo,Morocco analeta uzawa wa kijinga,mnoga kwa nini hayupo!?
Mnoga alitakiwa kucheza kulia kwa lusajo jamaa huyu lusajo anacheza beki ya kizamani sana hatufai huyu halafu one vs one mwepesi kupitika
 
4; kama kuna siku ambayo Mwamnyeto amecheza sana basi leo ni mojawapo! Alienda juu, akafata chini popote pale! Ooh so okay.⛏️⛏️

Mnyonge mnyongeni nafasi yake mpeni.
Mimi mwenyewe kwakweli sijaamini kabisa uchezaji wa Mwamnyeto. Ukiachana na kuruka juu na kufata mipira nimependa hata upigaji wake wa pasi. Very excellent

Apewe maua yake Mwamnyeto
 
Mimi mwenyewe kwakweli sijaamini kabisa uchezaji wa Mwamnyeto. Ukiachana na kuruka juu na kufata mipira nimependa hata upigaji wake wa pasi. Very excellent

Apewe maua yake Mwamnyeto
Ni vile tu tunapenda kutafuta makosa yake basi ila jamaa alitulia sana

Mimi naamini muda wote pale yanga kwa mabeki wa kati sasa hakuna anayemfikia mwamnyeto kwa upigaji wa pasi tumeona mara kibao so okay
 
Wakuu
1; Hemed Moroco ametuheshimisha! Ilihitaji muda kidogo kumuelewa, alianza taratibu na sasa anatishia kibarua cha kocha Amrouche!

2; Stars wameshinda lakini bado Zambia wamecheza mpira bila kupata matokeo!, ari na morali ya Stars imeimarika sana na wachezaji wanajituma sana ,pongezi kwa hilo.

3; Uchaguzi wa kuanza na Mudathir na na Mao ulikuwa sawa sana dakika 35 hivi za kwanza baada ya hapo ikawa wanapata tabu sana kulink pamoja, hii ni kutokana na kucheza karibu karibu sana hao wawili hasa Mao na kumpa tabu Mudathir sana.

4; kama kuna siku ambayo Mwamnyeto amecheza sana basi leo ni mojawapo! Alienda juu, akafata chini popote pale! Ooh so okay.⛏️⛏️

Mnyonge mnyongeni nafasi yake mpeni.


5; Stars wameimarika sana katika kuzuia mipira ya juu, ni changamoto ndogo ndogo sana ndiyo shida
Kumzuia patson Daka linapokuja swala la mipira ya juu sio easy task wajameni, jamaa anatisha hatari kama njaa ni vile ubora wa Ally Salim golini na mabeki otherwise tungeumia.

6; Ally salim! What a golie?
Alitulia kwa kiasi kikubwa sana ingawaje umbo lake nalo ni kikwazo kwake hasa mipira ya juu ilimpa shida sana .
Alituliza pressure ilipobidi na hata kupooza game inapotakiwa good game . Kuna michomo mikali mikali yeye aliidaka sio kutema😯😯

7; Feisal anacheza na pressure kichwani anakifukuza kivuli chake..! Atulie

8; Bacca ,defending as usually askari hana ratiba yeye mpe kazi atakufanyia, anaenjoy kuzuia a pure art of defending!

9: Barua anahitaji zaidi muda wa kucheza A good player.


10; Winga yule namba 7 mgongoni [kampamba] something like that.

Ni winga hatari sana ukifanya mzaha lusajo atalala amechoka sana sana🤣🤣

NB; Zanzibar finest kageuka Kilwa finest.
Walimaliza mchezo walipomuingiza Lameck,walifunga kabisa kule nyuma,.Zambia hawakua wabunifu kwakua plan yao ilikua 1 tu ambayo ilifeli muda mrefu sn ya mipira ya juu
 
Walimaliza mchezo waliomuinhiza Lameck,walifunga kabisa kule nyuma,.Zambia hawakua wabunifu kwakua plan yao ilikua 1 tu ambayo ilifeli muda mrefu sn ya mipira ya juu
Lawi alitulia sana, fikiria una bacca, lawi na bakari halafu wanaleta mipira ya juu for what?

Zambia waliishiwa mbinu kwa kweli wakapaniki
 
Sijaangalia game pamoja na kwamba nilikuwa kwenye viunga ambavyo vingeniruhusu kuicheki. Siku nyingi tumesema tuanze kuamini damu mpya, haya ndiyo matokeo yake sasa. Ilionekana timu haiwezi kushinda bila kuwepo kwa Samatta sasa hivi inaonekana inawezekana na hata ni bora asiwepo tena. Imebaki kuachana na Msuva.

Timu inahitaji kutafuta suluhisho la kupata magoli, sijui mara ya mwisho kufunga zaidi ya goli moja ni lini.
 
Back
Top Bottom