Max com/max malipo business

MMOJA

JF-Expert Member
Joined
Aug 30, 2012
Posts
445
Reaction score
259
Msaada wana JF kwa mdau aliefanya business ya kutumia mashine ya max malipo, faida yake inakuaje kwenye hizi mashine, na kipi ni bora kuwa na max malipo machine au kwenda moja kwa moja kuwa na M PESA, TIGO PESA NA AIRTEL MONEY! Mwenye experience na hii business wadau?
 
mkuu nenda moja kwa moja mpesa,tgo pesa,amoney.....sna cha kuongezea jitambue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…