Hujasoma mambo yake? Akigusa habari za Uislamu anaanza kufoka tu. Namshukuru Mungu aliondolewa maana tangu ameondoka imewezakana kidogo kufanya majadiliano ya maana.hivi mtu wa dini hutukana????? Kwa nini mnashindwa kuwa wastaarabu au madhehebu yenu ndio yanapenda mambo ya matusi????
Ana kesi ya utapeli USA, na ilisha ripotiwa na links zikawekwa hapa JF.
Ana kesi ya utapeli USA, na ilisha ripotiwa na links zikawekwa hapa JF.
tunaiomba hiyo link tafazal...
Manabii wa uongo kazi wanayo!.Kwani kuwa na kesi ni ajabu? Au hujui hata wewe unakesi ya kujibu kwa mungu wako Allah na matokeo ya kesi hiyo hauyajui hadi sasa hivi?
Yuko wapi mchungaji wetu Max? Siku nyingi sijamuona jamvini. Tunamiss baraka zako baba mchungaji. Ni kati ya member wa jukwaa la dini mwenye uwelewa mkubwa wa dini zote 2 (islam and xstian).
Mwenye contact zake mwambie kondoo wake wana mwihitaji.
Dini zote ni islam na christian tu?!, kwahiyo hajui habari za dini za: adventist, budha, bahai.
Ten Indicted in New York Mortgage Fraud Include Closing Attorneys, Abstractors
Halafu kama hiyo haikutoshi bonyeza hapa zipo kibao: Max Shimba case - Google Search
Siku hizi amehamia jukwaa la Mwanakijiji, MwanaKijiji.COM kule hakuna Mods wala Mr. PAW
Hujasoma mambo yake? Akigusa habari za Uislamu anaanza kufoka tu. Namshukuru Mungu aliondolewa maana tangu ameondoka imewezakana kidogo kufanya majadiliano ya maana.
Wakati yuko? Haiwezekani. Kufoka na matusi. Tena yoote "kwa jina la Yesu", kwa hiyo siyo machafuko wa imani nyingine pia ya imani ya kikristo.
Haujui Uislam wala Ukristo. Anachojua ni matusi, kejeli na uzushi.Yuko wapi mchungaji wetu Max? Siku nyingi sijamuona jamvini. Tunamiss baraka zako baba mchungaji. Ni kati ya member wa jukwaa la dini mwenye uwelewa mkubwa wa dini zote 2 (islam and xstian).
Mwenye contact zake mwambie kondoo wake wana mwihitaji.
Duh!Noma, naona walikuwa nane so kila mtu kalamba em yake lolTen Indicted in New York Mortgage Fraud Include Closing Attorneys, Abstractors
Halafu kama hiyo haikutoshi bonyeza hapa zipo kibao: Max Shimba case - Google Search
I miss you guys too. I am here now
Kesi ya utapeli umemaliza?
hayakuhusu wacha kimbele mbele front,ajuza weee!!!!
Siku hizi unaitwa Jestina?