Maxence Melo: JamiiCheck imekuwa Msaada mkubwa kwa Jamii katika Kuhakiki Taarifa

Maxence Melo: JamiiCheck imekuwa Msaada mkubwa kwa Jamii katika Kuhakiki Taarifa

BabuKijiko

Member
Joined
May 3, 2024
Posts
24
Reaction score
38
Mkurugenzi Mtendaji wa JamiiForums, Maxence Melo amesema baada ya kutembelea Mikoa tofauti ya Tanzania Bara na Zanzibar, walipata wazo la kuja na mfumo wa uhakiki wa taarifa, ndipo ikawa mwanzo wa kuanzishwa kwa JamiiCheck ambayo ilizinduliwa Mwaka 2022

Maxence ameyasema hayo wakati akichangia mada katika Kongamano la Maendeleo ya Sekta ya Habari, leo Juni 18, 2024 Jijini Dar es Salaam, ambapo Kauli Mbiu inaeleza “Jenga mustakabali endelevu kwenye sekta ya Habari katika zama za Kidigitali.
 
Ni kweli

Nilifurahishwa Sana na jinsi taarifa ya Utabiri wa Shehe Yahya niliyoiweka hapa ilivyohakikiwa na kisha Waandishi wakongwe kutupa Ukweli' wa kile kilichosemwa na Shehe Yahya

Mungu wa Mbinguni Azidi kuibariki JF 😃
 
Ni kweli

Nilifurahishwa Sana na jinsi taarifa ya Utabiri wa Shehe Yahya niliyoiweka hapa ilivyohakikiwa na kisha Waandishi wakongwe kutupa Ukweli' wa kile kilichosemwa na Shehe Yahya

Mungu wa Mbinguni Azidi kuibariki JF 😃
Ukweli ni upi? Unaweza kutukumbusha?
 
Back
Top Bottom