Replica
JF-Expert Member
- Aug 28, 2017
- 1,681
- 8,887
Mkurugenzi wa Jamiiforums leo ameongelea mchango wa dijitali kwenye demokrasia ikiwemo walipofikia na changamoto zake kwenye mjadala uliofanyika Msasani, Dar es Salaam.
Maxence Melo: Tulipata changamoto sana kuhusu Sera yetu ya Faragha lakini kwa sasa tumeshaandaa Muswada mbadala wa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa binafsi na Faragha.
Ninashukuru kwamba Wizara inatoa ushirikiano mkubwa kwenye hili. Kila Mdau wetu atapata nafasi ya kushiriki kutoa maoni.
Pia Maxence amesema awali haikuwa rahisi kufanya kazi na Serikali na taasisi zake lakini sasa wanapata ushirikiano mkubwa.
Maxence Melo: Tulipata changamoto sana kuhusu Sera yetu ya Faragha lakini kwa sasa tumeshaandaa Muswada mbadala wa Sheria ya Ulinzi wa Taarifa binafsi na Faragha.
Ninashukuru kwamba Wizara inatoa ushirikiano mkubwa kwenye hili. Kila Mdau wetu atapata nafasi ya kushiriki kutoa maoni.
Pia Maxence amesema awali haikuwa rahisi kufanya kazi na Serikali na taasisi zake lakini sasa wanapata ushirikiano mkubwa.