Maxi Mpia Nzengeli (24) kuelekea mchezo wa Kariakoo Derby

Maxi Mpia Nzengeli (24) kuelekea mchezo wa Kariakoo Derby

Dalton elijah

JF-Expert Member
Joined
Jul 19, 2022
Posts
373
Reaction score
829
siku ya jumamosi ndiye namuona kama mchezaji hatari kwa Simba SC kutokana na ubora wake ndani ya uwanja, Maxi kama yupo fiti lazima atakupa mechi bora sana kuanzia nguvu hata kasi na ufanisi kwenye maeneo mengi ndani ya uwanja yameipa uhai mkubwa sana Young Africans

1729098582130.jpg
Mechi tatu zilizopita za Kariakoo Derby amefunga magoli matatu ambayo kwa kiasi kikubwa yaliamua mechi hizo, hivyo kama kuna mchezaji wa kwanza ambaye Simba wanapaswa kumtazama kuelekea mchezo huu basi ni Maxi Nzengeli ambaye aliwapa mechi ngumu sana kwenye eneo la mwisho pale ambapo walikutana naye

Pale Young Africans ukiacha Pacome Zouzoua, Aiz Ki, Clatous Chama na wachezaji wengine ambao wanaimbwa sana kutokana na vitu vingine vya ziada walivyo navyo miguuni mwao basi wapo wachezaji wengine ambao naona ni muhimu sana kwenye kikosi cha Miguel Gamondi, Na miongoni mwa wachezaji hao ni Maxi Nzengeli ambaye hana mambo mengi mguuni tofauti na kufanya majukumu ya msingi uwanjani

Maxi hana muda wa kucheza sana na majukwaa tofauti na mpira wake uwanjani, mpe mpira atafanya majukumu ya msingi na kama hamna mpira basi atautafuta eneo lolote lile ndani ya uwanja! One of the Best, Benchi la Ufundi la Young Africans nadhani ukiwaambia wataje majina ya wachezaji ambao hawapaswi kukosa kwenye daftari lao basi jina la Maxi Nzengeli hawawezi kuliweka pembeni

SIMPLY! Kwa sasa sio mchezaji ambaye utasikia akizungumzwa sana lakini binafsi hii naona ndio silaha ya Miguel Gamondi ndani ya uwanja, ni ngumu sana kunielewa kwa sasa lakini kama umetazama vyema mechi za Young Africans unaweza kukubaliana na mimi kwa asilimia kubwa sana! Player to Watch 👊

Let's Goo!!.
 
Hamna mchezaji hapo

Afu aache tabia ya kuvuta jezi wenzake.

Awe ni mtu wa kukubali kuzidiwa sio unapigwa chenga mbili watu wanapita na mali we unakimbilia kuvuta jezi
 
Hamna mchezaji hapo

Afu aache tabia ya kuvuta jezi wenzake.

Awe ni mtu wa kukubali kuzidiwa sio unapigwa chenga mbili watu wanapita na mali we unakimbilia kuvuta jezi
Nakubali Kaimu Muhasibu.
 
siku ya jumamosi ndiye namuona kama mchezaji hatari kwa Simba SC kutokana na ubora wake ndani ya uwanja, Maxi kama yupo fiti lazima atakupa mechi bora sana kuanzia nguvu hata kasi na ufanisi kwenye maeneo mengi ndani ya uwanja yameipa uhai mkubwa sana Young Africans

Mechi tatu zilizopita za Kariakoo Derby amefunga magoli matatu ambayo kwa kiasi kikubwa yaliamua mechi hizo, hivyo kama kuna mchezaji wa kwanza ambaye Simba wanapaswa kumtazama kuelekea mchezo huu basi ni Maxi Nzengeli ambaye aliwapa mechi ngumu sana kwenye eneo la mwisho pale ambapo walikutana naye

Pale Young Africans ukiacha Pacome Zouzoua, Aiz Ki, Clatous Chama na wachezaji wengine ambao wanaimbwa sana kutokana na vitu vingine vya ziada walivyo navyo miguuni mwao basi wapo wachezaji wengine ambao naona ni muhimu sana kwenye kikosi cha Miguel Gamondi, Na miongoni mwa wachezaji hao ni Maxi Nzengeli ambaye hana mambo mengi mguuni tofauti na kufanya majukumu ya msingi uwanjani

Maxi hana muda wa kucheza sana na majukwaa tofauti na mpira wake uwanjani, mpe mpira atafanya majukumu ya msingi na kama hamna mpira basi atautafuta eneo lolote lile ndani ya uwanja! One of the Best, Benchi la Ufundi la Young Africans nadhani ukiwaambia wataje majina ya wachezaji ambao hawapaswi kukosa kwenye daftari lao basi jina la Maxi Nzengeli hawawezi kuliweka pembeni

SIMPLY! Kwa sasa sio mchezaji ambaye utasikia akizungumzwa sana lakini binafsi hii naona ndio silaha ya Miguel Gamondi ndani ya uwanja, ni ngumu sana kunielewa kwa sasa lakini kama umetazama vyema mechi za Young Africans unaweza kukubaliana na mimi kwa asilimia kubwa sana! Player to Watch 👊

Let's Goo!!.
Huyu anamtoa mtu na redikadi sikuhiooo andika mda na tar
 
siku ya jumamosi ndiye namuona kama mchezaji hatari kwa Simba SC kutokana na ubora wake ndani ya uwanja, Maxi kama yupo fiti lazima atakupa mechi bora sana kuanzia nguvu hata kasi na ufanisi kwenye maeneo mengi ndani ya uwanja yameipa uhai mkubwa sana Young Africans

Mechi tatu zilizopita za Kariakoo Derby amefunga magoli matatu ambayo kwa kiasi kikubwa yaliamua mechi hizo, hivyo kama kuna mchezaji wa kwanza ambaye Simba wanapaswa kumtazama kuelekea mchezo huu basi ni Maxi Nzengeli ambaye aliwapa mechi ngumu sana kwenye eneo la mwisho pale ambapo walikutana naye

Pale Young Africans ukiacha Pacome Zouzoua, Aiz Ki, Clatous Chama na wachezaji wengine ambao wanaimbwa sana kutokana na vitu vingine vya ziada walivyo navyo miguuni mwao basi wapo wachezaji wengine ambao naona ni muhimu sana kwenye kikosi cha Miguel Gamondi, Na miongoni mwa wachezaji hao ni Maxi Nzengeli ambaye hana mambo mengi mguuni tofauti na kufanya majukumu ya msingi uwanjani

Maxi hana muda wa kucheza sana na majukwaa tofauti na mpira wake uwanjani, mpe mpira atafanya majukumu ya msingi na kama hamna mpira basi atautafuta eneo lolote lile ndani ya uwanja! One of the Best, Benchi la Ufundi la Young Africans nadhani ukiwaambia wataje majina ya wachezaji ambao hawapaswi kukosa kwenye daftari lao basi jina la Maxi Nzengeli hawawezi kuliweka pembeni

SIMPLY! Kwa sasa sio mchezaji ambaye utasikia akizungumzwa sana lakini binafsi hii naona ndio silaha ya Miguel Gamondi ndani ya uwanja, ni ngumu sana kunielewa kwa sasa lakini kama umetazama vyema mechi za Young Africans unaweza kukubaliana na mimi kwa asilimia kubwa sana! Player to Watch [emoji109]

Let's Goo!!.
Kiungo Punda wa Yanga[emoji91][emoji91][emoji91]
 
Hamna mchezaji hapo

Afu aache tabia ya kuvuta jezi wenzake.

Awe ni mtu wa kukubali kuzidiwa sio unapigwa chenga mbili watu wanapita na mali we unakimbilia kuvuta jezi
Kawafunga magoli matatu dhidi ya Simba halafu unasema hakuna mchezaji. Hater una kazi kweli kweli
 
Majukumu waliyojiwekea baadhi ya wachezaji wa yanga almaarufu kama ut*p*l*:
1. Zengeli: Kuweka mpira wavuni, hata kama tangu filimbi ya kwanza hakuna niliyemfurahisha!
2. Pacome: Kucheza na jukwaa, na kuburudisha wananchi hata kama kwa kufanya hivyo naigharimu timu yangu!!. Kujaribu kufunga mwenyewe hata kama siko kwenye nafasi nzuri ya kufanya hivyo. Ni afadhali nijaribu mwenyewe kufunga hata kama nikikosa kuliko nimpasie mwingine hata kama anaweza kufunga!!

Karibuni kuendeleza hiyo orodha!
 
Timu yoyote ukisikia mchezaji fulani ni injini huwa kama ina mafanikio basi wako zama zao za mwisho za kutamba.Yaani timu ya mpila wa miguu ni muunganiko wa mfumo wa kocha kwa ujumla na ndo maana Pep huwa anatengeneza Muundo hatengenezi mchezaji Leo simba mchezaji yoyote akiumia timu haiwezi kuyumba huyu kocha wa simba wakimvumilia atatengeneza Simba bora sana kwa mwenendo alivyoitengeneza timu.
 
Mi nachojua na mara hii makolo lazima wale chuma,lazima wakalie bomba lazima tuwapige na msumari!..😁
Hahahaha ,
hii mtani wetu kukalia bomba mara unasema sijui mtani kadungwa kidude, mara tena umesema sijui mtani atapigwa misumari , hii ni hatari sana , hatari zaidi kuliko danger 🔥, watu watalia sana jumamosi, ila goli ni tatu tu si zaidi, Dube ana moja, Duke Abuya ana goli moja na moja la Max Nzengeli. Pacome atagongesha mwamba mara tatu, Mzize mashuti yake matatu yote yatadakwa, Aziz Ki ataangushwa kwenye penati box na Yanga kupata penati ambayo Baka atapiga mnazi na mpira utapaa juu mawinguni na kwenda kutua huko kwenye tamasha la kizimkazi.

Derby flani si zamani sana nilitaribiri kabla ya mechi na nikaandika jf kuwa simba itadungwa vidude vitano tu au khamsa na kweli ikawa, mtu mmoja akaniuliza eti nilijuaje, niliona sikuwa na jibu ila najua ni maruhani.
 
Hahahaha ,
hii mtani wetu kukalia bomba mara unasema sijui mtani kadungwa kidude, mara tena umesema sijui mtani atapigwa misumari , hii ni hatari sana , hatari zaidi kuliko danger 🔥, watu watalia sana jumamosi, ila goli ni tatu tu si zaidi, Dube ana moja, Duke Abuya ana goli moja na moja la Max Nzengeli. Pacome atagongesha mwamba mara tatu, Mzize mashuti yake matatu yote yatadakwa, Aziz Ki ataangushwa kwenye penati box na Yanga kupata penati ambayo Baka atapiga mnazi na mpira utapaa juu mawinguni na kwenda kutua huko kwenye tamasha la kizimkazi.

Derby flani si zamani sana nilitaribiri kabla ya mechi na nikaandika jf kuwa simba itadungwa vidude vitano tu au khamsa na kweli ikawa, mtu mmoja akaniuliza eti nilijuaje, niliona sikuwa na jibu ila najua ni maruhani.
uzi ufungwe sasa...😂
 
Back
Top Bottom