kwisha
JF-Expert Member
- Sep 9, 2021
- 1,779
- 4,982
Ikiwa yanga watamtumia zengeli vizuri watakuwa wamempata mchezaji mkubwa na mzuri zaidi na kuna uwezekano mkubwa akaibwa zaidi ya mayele
Zengeli ni namba 10 halasi
Japo anacheza namba 11 na 7 lakini namba yake halisi ni 10
Zengeli ni mzuri kwa vichwa na kwa ma shoot ya moja kwa moja
Zengeli ana speed
zengeli ana nguvu
Zengeli ni mzuri kwa kutoa pass za mwisho
Zengeli sio mzuri kwa dribbling
Zengeli ni mpambanaji
Nataka tu ni wambie zengeli ndo alikuwa mfungaji namba 3 wa league ya kongo mwaka 2020-2021 Baada ya beleke,na mayele
Zengeli ndo alikuwa mchezaji bora wa league ya kongo mwaka 2020-2021
Zengeli ndo alikuwa mchezaji wa bora wa league ya kongo mwaka 2021-2022
Zengeli ndo alikuwa mfungaji bora na mchezaji bora wa league ya kongo wa league hii ambayo ilihishia njiani
Zengeli ndo alikuwa mchezaji wa kwanza kuitwa timu ya taifa ya kongo ya wa kubwa Kabla ya mayele mwaka 2022 kipindi kile waliitwa juma shaban
Na mwisho zengeli ametokea timu ndogo DRC fc maniema
Zengeli ni namba 10 halasi
Japo anacheza namba 11 na 7 lakini namba yake halisi ni 10
Zengeli ni mzuri kwa vichwa na kwa ma shoot ya moja kwa moja
Zengeli ana speed
zengeli ana nguvu
Zengeli ni mzuri kwa kutoa pass za mwisho
Zengeli sio mzuri kwa dribbling
Zengeli ni mpambanaji
Nataka tu ni wambie zengeli ndo alikuwa mfungaji namba 3 wa league ya kongo mwaka 2020-2021 Baada ya beleke,na mayele
Zengeli ndo alikuwa mchezaji bora wa league ya kongo mwaka 2020-2021
Zengeli ndo alikuwa mchezaji wa bora wa league ya kongo mwaka 2021-2022
Zengeli ndo alikuwa mfungaji bora na mchezaji bora wa league ya kongo wa league hii ambayo ilihishia njiani
Zengeli ndo alikuwa mchezaji wa kwanza kuitwa timu ya taifa ya kongo ya wa kubwa Kabla ya mayele mwaka 2022 kipindi kile waliitwa juma shaban
Na mwisho zengeli ametokea timu ndogo DRC fc maniema