Maximo atabaki kuwa kocha bora na wa kihistoria Tanzania

Maximo atabaki kuwa kocha bora na wa kihistoria Tanzania

GAZETI

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
5,286
Reaction score
6,736
Licha ya maneno na masimango ya watanzania kwa Kocha Marcio Maxmo kutoka nchini Brazil bado sijaipata furaha ya ukweli kama niliyokuwa nikiipata wakati kocha huyo akiwa na mikoba ya kukinoa kikosi cha timu yetu ya Taifa. Licha ya kuchukua kombe La challenge ni wazi kuwa mapenzi ya watanzania kwa timu yao yamekufa tena. Kama inawezekana turudishieni maxmo wetu.
 
Back
Top Bottom