nakuunga mkono Maximo hatufai, hana mpya, kwani wachezaji waliopo nani kamchagulia?.
mwanzo alikua akidai mpira wa Tanzania haukui ajili hatuna professionals sasa mashindano haya si ya ma Professionals inakuweje anashindwa kuperform. sisi tunataka performance sio blahblah za kukuza mpira.