joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Wala hakutakuwepo na SGR ya Kampala Malaba, Kenya haitojenga kipande cha Kisumu to Malaba, badala yake watatumia bandari ya Kisumu kufikisha mizigo ya Uganda na South Sudan. Kenya wakifikisha SGR Malaba, watakuwa wanainyima mizigo bandari ya Kisumu ambayo uhai wake unatigemea kupokea mizigo toka bandari ya MombasaNimeona pia electric SGR ya Uganda itakuwa 100 km/hr kwa 120km/hr according to there design. Kuna sehemu TZ itafika hadi 240km/hr
Itakuwa safi sana maana tutakuwa na more room to compete with them!Wala hakutakuwepo na SGR ya Kampala Malaba, Kenya haitojenga kipande cha Kisumu to Malaba, badala yake watatumia bandari ya Kisumu kufikisha mizigo ya Uganda na South Sudan. Kenya wakifikisha SGR Malaba, watakuwa wanainyima mizigo bandari ya Kisumu ambayo uhai wake unatigemea kupokea mizigo toka bandari ya Mombasa
Dangote likes to be baby seated. Anapenda vya dezo. Mbona viwanda vingine vinazalisha kwa umeme ule ule na kwa garama zile zile za umeme? If he cant compete on the fair platform, let him close and leave. There are many cement plants in Tanzania lately. More than seven actualy.Dangote amefunga kiwanda chake cha saruji sababu ikiwa ukosaji wa umeme...Bullet train itatoboa bongo kweli? kaka
Maximum speed for non existent Tz Sgr will be zero...😀😀
Hahaha eti 240 km/hr. Kwani ni bullet train? Msitubebe kama watotoNimeona pia electric SGR ya Uganda itakuwa 100 km/hr kwa 120km/hr according to there design. Kuna sehemu TZ itafika hadi 240km/hr
M C H I N A. Wao ni Mandalay tu. Ndio Maana JPM aliwakwepa sana
Lakini hawawezi fikisha reli Kisumu wakashindwa fika Malaba kwani kipande nikidogo sana. SGR inaumuhimu kwa Uganda kuliko Kisumu. Nauwakika wakifika Kisumu lazima ifike Malaba. Tuwe wakweli katika hili.Wala hakutakuwepo na SGR ya Kampala Malaba, Kenya haitojenga kipande cha Kisumu to Malaba, badala yake watatumia bandari ya Kisumu kufikisha mizigo ya Uganda na South Sudan. Kenya wakifikisha SGR Malaba, watakuwa wanainyima mizigo bandari ya Kisumu ambayo uhai wake unatigemea kupokea mizigo toka bandari ya Mombasa
Kumbe usilo elewa nikitu kimoja hiyo train yetu itakuwa maximum speed ya 240 haito kuja na limit ya 160Hahaha eti 240 km/hr. Kwani ni bullet train? Msitubebe kama watoto
Hahaha leo jiwe baridi amevuliwa nguo mbele ya watu. Infact port ya Kisumu haijakuwa ikifanya Kazi kwa miaka zaidi ya kumi sasa. The port of Kisumu is almost useless to the Kenyan economy.Lakini hawawezi fikisha reli Kisumu wakashindwa fika Malaba kwani kipande nikidogo sana. SGR inaumuhimu kwa Uganda kuliko Kisumu. Nauwakika wakifika Kisumu lazima ifike Malaba. Tuwe wakweli katika hili.
Kuna mpango wakujenga pia SGR kutoka Tanga to Musoma Port pia hapo SGR yenu itakuwa imepata pigo jingine kubwaHahaha leo jiwe baridi amevuliwa nguo mbele ya watu. Infact port ya Kisumu haijakuwa ikifanya Kazi kwa miaka zaidi ya kumi sasa. The port of Kisumu is almost useless to the Kenyan economy.
Tuongelee kitu kinachofanya Kazi kuwa sasa sio speed za renders.maximum speed for Tanzania SGR will exceed 160KM/H
Binti Mwasiti tulia kuzaa ni lazima. Mimba kutoka TZ umeitaka mwenyeweTuongelee kitu kinachofanya Kazi kuwa sasa sio speed za renders.
Mtoto nitamuita Mulisadanganyika Anaeldisi kwa heshima ya Watzee.Binti Mwasiti tulia kuzaa ni lazima. Mimba kutoka TZ umeitaka mwenyewe
Ukimaliza kuzaa tutampatia jinaMtoto nitamuita Mulisadanganyika Anaeldisi kwa heshima ya Watzee.
CLOSED to switch to Gas as source of Power to be opened in JUNE.Dangote amefunga kiwanda chake cha saruji sababu ikiwa ukosaji wa umeme...Bullet train itatoboa bongo kweli? kaka
160-110=?
Reality on ground ni 110Km/hr, achana na maneno maneno.
Reality on ground ni 110Km/hr, achana na maneno maneno.