yah!tunaandaa minutes za kikao kilichopita.zikikamilika tutawatumia kwa barua pepe.then mtapendekeza kikao kikae baa gani next time
We nitumie PM nitakukutanisha na wote hao mpaka Yo Yo alafu Nguli, George_Porjie, Geoff, ZD, Chrispin n.k
Kwi kwi kwi! te te te, XSPN siitaji kumuuliza ni chama gani cha siasa....ana ahadi hewa sana
NB: HII TREAD YA BABY WETU UNARUHUSIWA KWENDA NJE YA MAADA NA ZII IS STRICLY FORBIDEN
Mpwa unanitenga?
Nguli Mbona umefanana sana na Chrispin hasa kwenye idara?
yah!tunaandaa minutes za kikao kilichopita.zikikamilika tutawatumia kwa barua pepe.then mtapendekeza kikao kikae baa gani next time
You have said it! Hahaha! Hiyo baa lazima iwe na maji ya dasani ya kutosha kwa ajili ya mpwa nguli. Hahaha!
ha ha ha ha GEOF wewe shapu sana...naomba bar utakaypoendekeza usiweke hapa kuna member alisema atampiga Fidel nafkiri unamkumbuka....
Hahaha! Mpwa chochote isipokuwa CCM au CUF. Nilikuwa najua we ni muumini mwenzangu mzuri. Ila kusamehe kwako ni Vocabulary mpya. Lol! I wish ile siku ingekuwa leo.
Lol! Basi kingine kifanyike si mbali sana na ofisi za Alhaji Suleiman Kova. Hahahaha! Watu bana, miwivu tuuuuuuuu!
nakumbuka sana,itakuwa attached kwenye minutes.na uzuri wa kikao kijacho ni kwamba kuna member ambaye hakuhudhuria,na amekiri kutoa faini.kwa hiyo wapwa msije na pesa kabisa.yeye ata incurr kila kosts.kuanzia makange,mbuzi,bia,bavaria za nguli na hela ya taksi ya kumrudisha SEMENYA MVUTI!(nimeona ameahidi atakuja),pamoja na hela ya kuweka mafuta kwenye motokari ya fl1 nae atakuwepo.ha ha ha ha GEOF wewe shapu sana...naomba bar utakaypoendekeza usiweke hapa kuna member alisema atampiga Fidel nafkiri unamkumbuka....
Wapwa naomba mzibitishe huyu ni NGULI?
nakumbuka sana,itakuwa attached kwenye minutes.na uzuri wa kikao kijacho ni kwamba kuna member ambaye hakuhudhuria,na amekiri kutoa faini.kwa hiyo wapwa msije na pesa kabisa.yeye ata incurr kila kosts.kuanzia makange,mbuzi,bia,bavaria za nguli na hela ya taksi ya kumrudisha SEMENYA MVUTI!(nimeona ameahidi atakuja),pamoja na hela ya kuweka mafuta kwenye motokari ya fl1 nae atakuwepo.
Ulivyotaja voca nikakumbuka yule mwl wetu wa voca u kno wora am sayin'
hayo yamepita ngoja jumamosi hii tuone utatoa sababu gani.
nakumbuka sana,itakuwa attached kwenye minutes.na uzuri wa kikao kijacho ni kwamba kuna member ambaye hakuhudhuria,na amekiri kutoa faini.kwa hiyo wapwa msije na pesa kabisa.yeye ata incurr kila kosts.kuanzia makange,mbuzi,bia,bavaria za nguli na hela ya taksi ya kumrudisha SEMENYA MVUTI!(nimeona ameahidi atakuja),pamoja na hela ya kuweka mafuta kwenye motokari ya fl1 nae atakuwepo.
Hehehehe! Huyo Semenya huyo! Hivi ni she au he? Mi ntakuwa na mchumba wangu. Ameshachukua likizo kabisa ili kuondoa incoveniences.
Ni mchanganyiko maalumu wa jinsia 2.
Hahaha! Huyo mwenyeji wake atakuwa mpwa papaa Fidel muzee ya pesa mingi!
Hahaha! Huyo mwenyeji wake atakuwa mpwa papaa Fidel muzee ya pesa mingi!
Hehehehe! Huyo Semenya huyo! Hivi ni she au he? Mi ntakuwa na mchumba wangu. Ameshachukua likizo kabisa ili kuondoa incoveniences.[/QUOTE]
patachimbika basi.