May i not die before masanilo,nguli,chrispin,fidel80&burn

Babylove
Hao wote uliowataja hapo juu ni wagonjwa na huenda anytime tukawakosa, so please attach yourself to me, a reliable, disciplined, self reliant, humble man. na mbaya zaidi ni kwamba tumewakaribisha juzijuzi kwenye jamvi, hawana uzoefu wowote...Chagua kilicho bora dada, ohooo!
 
Duuu,Paka Jimmy wewe ni kiboko,jinsi unavyowadiscredit hawa jamaa as if wamekuchukulia mke,lakini take care unaweza kuta huyu baby love ni dume,kumbuka kuna Kazimungala(jinamizi)!!!
 

Taratibu mkuu, ndoa za mitala ni za halali pia. Hahahaha!
 

Mkuu umetuua! du, ina maana yeye ndio atapenda PAKA? si huwa paka anapenda PANYA yeye nis baby lav si utajamla huyu junior member.
 

Lol! Mwanakondoo anayekaribia kufa kwa njaa anapokutana na simba mwenye njaa.
 
Babylove,

Kama taarabu ipo basi wee anza kujiandaa kuhamia huku Sikonge.

Ninalipa ng'ombe wengi tu ukweni, na kwa kweli wakwe hawatajuta.

Masanilo na Julius ni Wabahili sana kwenye ulipaji mahali wa Ng'ombe. Watakuja na Zimbabwe Dollas kibao kumbe ni makaratasi.

Huyo Nguli kajenga limwili tu ila akivua suruali, mhhhhhh!!!!! Ndiyo maana muda wote anakupa Push-Up......

Chrispian, yeye kashakula sana vumbi la Cement na atakunyanyasa na matusi ya Wabeba Zege (Saidia). Na wale watu kama unawafahamu, wanatukana hadi .........

So, mambo yote Sikonge, kunywa uji wa ukwaju na asali. Ni Mswano kinoma.....

LAMUHIMU: Karibu sana JF. Mchango wako twausubiri saaana......
 

Mkuu nilitamani kuzimia nilifikiri unaniua mimi; kumbe chrispian. Usijali babylove darling, sikonge hakumaanisha mimi. Lol!
 
Hutaki sasa kwamba mimi ni she? Nguli niPM upate habari kamili

Mpwa zali hilo, lakini stuka kiaina. Unaweza ukauziwa maji kwenye chekecheke.
 
Lol! Mwanakondoo anayekaribia kufa kwa njaa anapokutana na simba mwenye njaa.

Inategemea nani ana njaa zaidi. Unaweza kushangaa, Mwanakondoo anamtandika Kichwa Simba na Simba anaanguka na kuliwa na Mwanakondoo....

Mkuu Chrispin, Sikumaanisha wewe. Ila nilikosea kuandika, nilimaanisha Chrispin wa Mzee Lugundi.
 

Mmetuamulia kuhakikisha nyota zetu hazingari mwishoni yeye baby ataamua nani ni nani?
 
Du! Nashukuru kama ni kweli, mimi niko available sana nakutana na kila mtu, ila ni vizuri tukamsubiri presdaa atoe tamko rasmi ni lini na wapi? na wewe hujasema unapatikana wapi? Karibu sana.
Kizuri kula na nduguyo mkuu!
 
Guyz mnanichekesha kweli, I love ya all, in december will be in dar nitawatafuta, napendelea ucheshi na kuwa na watu ambao ni funny.
 


Duh!
Huenda ni mmoja wa walioandikwa hapo juu, ukiangalia wingi wa posts.

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…