No one can ever brainwash me to make me believe that Sugar Ray Robinson and Muhammad Ali were better than me, Mayweather told ESPN.
But one thing I will do, Im going to take my hat off to them and respect those guys that paved the way for me to be where Im at today.
Kauli hii imeleta mjada mkubwa kwenye ulimwengu wa masumbwi kwenye media mbali mbali na mitandao ya kijamii
Kundi linalokubaliana nae linavigezo vyake iliwemo hajapigwa hata pambano moja, anaushawishi mkubwa na ni mwanamichezo anayelipwa pesa ndefu kuliko wote
Wasiokubaliana naye wanadai anachagua sana wapinzani wa kupigana naye na anakimbia kimbia sana jukwaani badala ya kupambana
But one thing I will do, Im going to take my hat off to them and respect those guys that paved the way for me to be where Im at today.
Kauli hii imeleta mjada mkubwa kwenye ulimwengu wa masumbwi kwenye media mbali mbali na mitandao ya kijamii
Kundi linalokubaliana nae linavigezo vyake iliwemo hajapigwa hata pambano moja, anaushawishi mkubwa na ni mwanamichezo anayelipwa pesa ndefu kuliko wote
Wasiokubaliana naye wanadai anachagua sana wapinzani wa kupigana naye na anakimbia kimbia sana jukwaani badala ya kupambana