DOKEZO Mayai kutoka Uganda yanaingizwa kimagendo Bukoba na miji jirani

DOKEZO Mayai kutoka Uganda yanaingizwa kimagendo Bukoba na miji jirani

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Montserrat

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2011
Posts
10,938
Reaction score
14,745
Nimeshuhudia mzigo mkubwa wa mayai yanavuka mpaka wa Mtukula na kuingia nchini. Nilivyojaribu kuuliza wenyeji nikaambiwa maboss wa vitengo vya Usalama na ukusanyaji kodi wapo kwenye payroll ya importers.

Kibaya zaidi ni kwamba hayo mayai hayalipiwi kodi kwa sababu yamezuiwa kuingizwa nchini (prohibited). Wengine waliopo kwenye syndicate hii ni wakusanya ushuru waliopo Kyaka.
 
Nimeshuhudia mzigo mkubwa wa mayai yanavuka mpaka wa Mtukula na kuingia nchini. Nilivyojaribu kuuliza wenyeji nikaambiwa maboss wa vitengo vya Usalama na ukusanyaji kodi wapo kwenye payroll ya importers.

Kibaya zaidi ni kwamba hayo mayai hayalipiwi kodi kwa sababu yamezuiwa kuingizwa nchini (prohibited). Wengine waliopo kwenye syndicate hii ni wakusanya ushuru waliopo Kyaka.
Sasa hizi fitna ndo maana tutabaki hivi tulivyo, kama kuna soko la mayai ndani maanake anae faidika ni mtanzania ale hayo mayai aboreshe afya yake.
 
Masta mambo kama haya ni kukausha tu ili mradi hayo mayai sio sumu.

Mimi nilienda Malawi kupeleleza ni zao gani na weza kununua ni lete bongo land niuze, nikagundua ni Karanga na Soya.

Cha ajabu ili uisafirishe bongo na ikulipe ni lazima uwe kama hao jamaa wa Mayai hapo mtukula [emoji23][emoji117] kwahiyo mambo kama haya na kushauri upige kimya tu, watu wale kwa urefu wa kamba zao, labda kama ingelikua wanatuletea sumu.

Watu wanaiba ma billions huko serikalini, na hawafanywi kitu Barrick wamesamehewa kodi ya fidia 360 Trillions sembuse huyo mwamba alie safirisha hayo mayai ukute mzigo mzima haufiki hata 10 millions. [emoji855][emoji849] (KAUSHA)
 
BIASHARA YA MAYAI NI BIASHARA BAADHI YA VIJANA WETU WATANZANIA WAMEKUWA WANAFANYA. SASA WANASHINDWA KUENDELEA NA BISHARA HIYO KWANI MAYAI YAMESHUKA BEI NA WANANUNUA KWA AGHALI KWA WAKULIMA WETU. HIVYO WANAPATA HASARA KWENYE KUUZA.

TULINDE BIASHARA ZA NDANI ZA MAYAI N.K. MAYAI NA MAZAO KUTOKA NJE YANAUWA BIASHARA ZA VIJANA WETU. VYOMBO VINAVYOSIMAMIA UINGIZAJIMAZAO KUTOKA NJE YA NCHI WAWE WAZALENDO.
 
Masta mambo kama haya ni kukausha tu ili mradi hayo mayai sio sumu.

Mimi nilienda Malawi kupeleleza ni zao gani na weza kununua ni lete bongo land niuze, nikagundua ni Karanga na Soya.

Cha ajabu ili uisafirishe bongo na ikulipe ni lazima uwe kama hao jamaa wa Mayai hapo mtukula [emoji23][emoji117] kwahiyo mambo kama haya na kushauri upige kimya tu, watu wale kwa urefu wa kamba zao, labda kama ingelikua wanatuletea sumu.

Watu wanaiba ma billions huko serikalini, na hawafanywi kitu Barrick wamesamehewa kodi ya fidia 360 Trillions sembuse huyo mwamba alie safirisha hayo mayai ukute mzigo mzima haufiki hata 10 millions. [emoji855][emoji849] (KAUSHA)
Kweli kabisa. Miaka ya nyuma nilikua naleta maziwa ya unga ya watoto ya Lactogen kutoka SA. Maziwa hayo hayo yalikua yanauzwa Zambia, Malawi na Zimbabwe lakini Tanzania walikua hawataki tuyaingize kisa tu kuna mhindi aliekua anayaingiza kutoka sijui Holland na kutuchongea kua haya ni fake wakati manufacturer ni mmoja ingawa yanatokea nchi tofauti.
 
Roho mbaya za Kayafa

Watu wale ikibidi hata pisi za matokeni zivuke TUJIBURUDISHE ....
 
Kweli kabisa. Miaka ya nyuma nilikua naleta maziwa ya unga ya watoto ya Lactogen kutoka SA. Maziwa hayo hayo yalikua yanauzwa Zambia, Malawi na Zimbabwe lakini Tanzania walikua hawataki tuyaingize kisa tu kuna mhindi aliekua anayaingiza kutoka sijui Holland na kutuchongea kua haya ni fake wakati manufacturer ni mmoja ingawa yanatokea nchi tofauti.
Yes ukuda kama huu upo sana tu, si kama wa maasai walivyo furushwa kule ngorongoro kisa pimbi mmoja anataka ku hodhi hilo eneo [emoji30].... hii nchi yetu usipo kuwa na akili za kujiongeza uta kua wa mwisho kila siku.

Kasumulu Tz/Malawi border nili wahi kushuhudia mwenzangu nilie safiri nae ka banwa kende kisa alitaka kuleta kaujanja ka kukwepa kodi kumbe hajui ujanja ni kuwapoza njaa wale ma boya [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
watanzania sijui kwa nini tunakuwa na roho mbaya chakula nchini shida zimepanda bei,mayai yanaletwa tunaanza kulalamika, viongozi nao eti tunalida viwanda vyetu wakati viwanda havina uwezo napia wanapandisha bei za vitu, si muache watu waagize vyakula nje ya nchi bila kibali
 
sasa kama washka dau ndo mastar wa iyo picha ndo imeisha ivyoo.
 
Kweli kabisa. Miaka ya nyuma nilikua naleta maziwa ya unga ya watoto ya Lactogen kutoka SA. Maziwa hayo hayo yalikua yanauzwa Zambia, Malawi na Zimbabwe lakini Tanzania walikua hawataki tuyaingize kisa tu kuna mhindi aliekua anayaingiza kutoka sijui Holland na kutuchongea kua haya ni fake wakati manufacturer ni mmoja ingawa yanatokea nchi tofauti.
Kuna cerelac ya age flani tulitishwa tusinunue eti siku hizi ni fake, kumbe kuna behind the scenes!!!!
 
Back
Top Bottom