Mayai ya Bundi ni zaidi ya dhahabu

Dah we jamaa ni hatari sana yaani unaandika kama jamaa flani wa kutoka kijijijni sana kumbe umeweka mtego
 
Mimi nakwambia tafuta ukiyapata nakutoa namba za mnunuz bila Mimi kuingilia biashara zenu.
Mbona hukuendelea kutafuta million 16 ilikutosha kuacha hiyo kazi rudi porini mzee yatafute mayai kama 1000 hivi ndio uache hiyo biashara
 
Mbona bundi wanaishi kwenye dari langu. Usiku wanatoka na asubuhi wanarudi kulala.
Huko darini wanaweza kutagiapo kweli?
kama vipi njoo tuweke mtego
 
Una maanisha Unaye Buyer au?

Yapo Mayai ya Bundi 2 Dodoma....
Pia kuna Ua la Mkuyu....
Leta deal..!

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hapo kwenye ua la mkuyu sikuamini mkuu
 
Mkuu utatufanya tuanze kufuga bundi sasa sijui mtaani watatuelewaje??
 
Wizzy wizzy....

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…