Mayai ya Kwale na Vifaranga vinauzwa

Mayai ya Kwale na Vifaranga vinauzwa

Farmer82

Senior Member
Joined
Sep 15, 2013
Posts
183
Reaction score
39
Habari zenu wana jamii forum,napenda kuwajulisha kua kwa wale wenye uhitaji wa mayai ya kwale,yanapatikana mjini D.s.m na mikoa ya karibu!bei kwa tray moja ni Tshs 15,000/= na pia iwapo utahitaji kuwekea mayai kwenye incubator kwa idadi utakayoitaka ili upate vifaranga,bei ya kuweka tray moja kwenye incubator ni Tshs 10,000/= kwa mwenye kuhitaji anaweza wasiliana nasi kwa simu zifuatazo: 0784670026, 0784784634 na 0713784634
 
Back
Top Bottom