Duuh nasubiria majibu, kuna mzee kaagiza ya mayai 30000.Habari wakuu, kama kichwa cha habari kilivyo, naomba kujua yale mayai ambayo yanafaa kutumika kutotolesha vifaranga vya kuku wa nyama yanapatikana wapi kwa mkoa wa Arusha. Vifaranga vimekuwa adimu sana hapa Arusha, nina mpango wa kuvuta incubator wiki chache zijazo ila nimeona ni vyema kujua haya mayai yanapatikana wapi maana najua yana muda maalum wa kutumika baada ya kutagwa na pia yawe ni yale yaliyorutubishwa na jogoo. Naomba kwa anaefahamu anijuze, idadi ni mayai 1000 kwa kila awamu......asanteni.
Wazo zuri na bihashara nzuri. Lakini kama huna MTU wa mifugo au wewe ujasomea mifugo ni hasara, Maana utapata lawama sana kwa wateja wako. Maana kuzuia magonjwa kwy Incubator huwa ni ngumu sana, wengi vifaranga uzaliwa wakiwa na magonjwa sanaHabari wakuu, kama kichwa cha habari kilivyo, naomba kujua yale mayai ambayo yanafaa kutumika kutotolesha vifaranga vya kuku wa nyama yanapatikana wapi kwa mkoa wa Arusha. Vifaranga vimekuwa adimu sana hapa Arusha, nina mpango wa kuvuta incubator wiki chache zijazo ila nimeona ni vyema kujua haya mayai yanapatikana wapi maana najua yana muda maalum wa kutumika baada ya kutagwa na pia yawe ni yale yaliyorutubishwa na jogoo. Naomba kwa anaefahamu anijuze, idadi ni mayai 1000 kwa kila awamu......asanteni.
Mkuu nashukuru kwa mchango wako ila natamani ungeelezea zaidi kuhusu hayo magonjwa ingekuwa msaada mkubwa sanaWazo zuri na bihashara nzuri. Lakini kama huna MTU wa mifugo au wewe ujasomea mifugo ni hasara, Maana utapata lawama sana kwa wateja wako. Maana kuzuia magonjwa kwy Incubator huwa ni ngumu sana, wengi vifaranga uzaliwa wakiwa na magonjwa sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa hiyo mkuu ina maana hawa wanaototolesha vifaranga na kuviuza, mayai wanatoa nje ya nchi? Au sijakuelewa, maana umesema "huwezi yapata".. Naomba uelezee kidogo please.Huwezi yapata, Ila kama unaweza kujitoa muhanga unaweza agiza uganda kuna taasisi wanauza mayai ya kuangulisha ya Broiler na Layers