Nawaza tu kama Mayanga Angekuwa na Ngozi Nyeupe na Pua Ndefu kutoka Kulee sijui ingekuwaje kwa Rekodi hizi ( Nafasi 25 juu FIFA +Mechi 7 bila kupoteza). Nadhani Angepewa Mtaa(Mayanga Street) hapo Dar...Naungana na yule mbuge aliyoonesha kutokuwa na imani na uwezo wa kocha.
Povu ruksa !
Potelea mbali lazima niseme tu!
Mimi ni miongoni wa watu nisioamini katika namna wachezaji wanavyoitwa timu ya taifa, kwa mwendo huu sijui ni ubaguzi au fitina nini?
Kocha anamuita Boko eti kwa sababu ya injury ya mbaraka ,halafu anamuacha ajibu ball dancer and brain wa nchi ,poa.
Lakini pia Sure boy nae hayumo ,basi poa. Sisi kufuzu hatakuja kutokea kwa uozo huu, Na kuthibitisha hili timu hii haitafuzu tena mwaka huu, na kama kuna MTU anaona cosafa ni achievement basi atakuwa na tatizo la ufkiri.
Naungana na yule mbuge aliyoonesha kutokuwa na imani na uwezo wa kocha.
Povu ruksa !
mkuu kwani akienda yanga ndo umchukie?wakati yupo simba mlimwita mtoa burudani baada ya mond na kiba.mpira Ni maisha yake mwache ale pesa acha wivu kama shhhhhAcha ' Upuuzi ' Wewe ni nani aliyekuambia kuwa Ibrahim Ajib anajua mpira? Mchezaji anatembea kama ' Demu ' muda wote anaweza akacheza kweli mpira huyo? Mchezaji anayejua mpira anaweza kweli kwenda kwa wasiojua Yanga FC? Taifa Stars ataisikia tu katika ' Bomba ' na kuna ' Mchezaji ' mmoja wa Simba SC tena ' Beki ' tumeshampa ' Kazi ' maalum katika mechi yetu ya Ngao ya Jamii ' amtengue ' kama siyo ' kumvunjilia ' mbali kabisa ili asicheze tena VPL. Huyo ' Mtoto ' ametudharau mno wana Simba SC na hatutamsamehe mpaka na sisi pia tumuonyeshe kuwa michezo ya ' Kihuni ' na ya ' Kimjini ' tunaijua vile vile. Safi sana Kocha Salum Mayanga kwa kumuacha nje ya Kikosi chako Mchezaji Ibrahim Ajib kwani ' angetuchelewesha ' dhidi ya ' Amavubi ' Rwanda katika kutafuta ' ushindi ' siku ya Jumamosi huko CCM Kirumba Mkoani Mwanza.
Maneno ya rage huwa nikiyakumbuka? naanza kuamini.Acha ' Upuuzi ' Wewe ni nani aliyekuambia kuwa Ibrahim Ajib anajua mpira? Mchezaji anatembea kama ' Demu ' muda wote anaweza akacheza kweli mpira huyo? Mchezaji anayejua mpira anaweza kweli kwenda kwa wasiojua Yanga FC? Taifa Stars ataisikia tu katika ' Bomba ' na kuna ' Mchezaji ' mmoja wa Simba SC tena ' Beki ' tumeshampa ' Kazi ' maalum katika mechi yetu ya Ngao ya Jamii ' amtengue ' kama siyo ' kumvunjilia ' mbali kabisa ili asicheze tena VPL. Huyo ' Mtoto ' ametudharau mno wana Simba SC na hatutamsamehe mpaka na sisi pia tumuonyeshe kuwa michezo ya ' Kihuni ' na ya ' Kimjini ' tunaijua vile vile. Safi sana Kocha Salum Mayanga kwa kumuacha nje ya Kikosi chako Mchezaji Ibrahim Ajib kwani ' angetuchelewesha ' dhidi ya ' Amavubi ' Rwanda katika kutafuta ' ushindi ' siku ya Jumamosi huko CCM Kirumba Mkoani Mwanza.
huu mpira imekuwa nongwa sasa, mtu akihama tayari fitina znaanzamkuu kwani akienda yanga ndo umchukie?wakati yupo simba mlimwita mtoa burudani baada ya mond na kiba.mpira Ni maisha yake mwache ale pesa acha wivu kama shhhhh
Umejuaje?,kama wanafanya hivyoMashabiki wa Yanga, wanafikiri kwa kutumia kwapa
Sent from my TECNO-W3 using JamiiForums mobile app
Tutaheshimiana tu,li timu lenu linapuyanga hovyo uwanjaniNawaza tu kama Mayanga Angekuwa na Ngozi Nyeupe na Pua Ndefu kutoka Kulee sijui ingekuwaje kwa Rekodi hizi ( Nafasi 25 juu FIFA +Mechi 7 bila kupoteza). Nadhani Angepewa Mtaa(Mayanga Street) hapo Dar...
tuandae sentensi zile maarufu, tumejitahidi,au tumetolewa kiume.Nmekuelewa sasa dreamboy!!
mh! kafanya yake ulitaka amfanyie nani?. Najiuliza hivi Magufuli haioni hii timu.Bocco kafanya yake leo