Mayele alindwe na waamuzi wa ligi kuu, yeye ni nembo ya ligi yetu

Wasipokuelewa wana lao jambo. Hilo suala liko wazi kabisa, Mayele anatakiwa kulindwa.

Anapaniwa sana, yani wakati wote anawindwa tena anawindwa vibaya.
Kabisa.
 
Wasipokuelewa wana lao jambo. Hilo suala liko wazi kabisa, Mayele anatakiwa kulindwa.

Anapaniwa sana, yani wakati wote anawindwa tena anawindwa vibaya.
Goli la mayele dhidi ya Namungo niujinga wa beki kumfukuza Mayele badala ya Mpira!
Kilichotokea Mayele akampiga chenga ya mwili jamaa likapita vruuuuu...likaacha mpira[emoji3][emoji3]
 
Sema ni nembo ya jiesiem na misukule yake.
Nembo Ya Taifa
Mayele ana trend hadi makanisani,tena kwa wanakwaya hadi makatekista na maaskofu,bungeni,mitaani,makazini,na hata Simba wakiwa mazoezini wote ni Mayele style.ushahidi wa video upo!
 
Mayele kwa sasa ni nembo ya LigiKUU ya Tanzania na pia ni nembo ya Taifa letu la Tanzania (Hata kama yeye si mtanzania).
Mayele akiumia na kukaa nje hata kwa mechi moja basi kuna hasara inapatikana kimapato katika vilabu vyote vya Ligi.
Sawa, anaenda kuwa nembo ya ligi ya South Africa
 
asilindwe aachwe apambane na hali yake ili azidi kukomaa, akilindwa tuu atadeka
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…