Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Kila la heriYanga mechi ya pili ni rahisi kwao kulilo ya Taifa, hawatakuwa na pressure. Na hii imejionesha mechi zote anacheza awaya anacheza vizuri na kupata matokeoa tofauti na ilivyotarijiwa, kumbuka mechi na Al Hilal, Monastir, Marumo, Rivers.
Yanga watafanya vizuri
Hata Simba tu walichofanya dhidi ya Wydad ni dhahiri Yanga wenye ubora zaidi wanaweza.
Uto unasema game ya away against al hilal ulipata matokeo gani? ebu tukumbushe kidogo.Yanga mechi ya pili ni rahisi kwao kulilo ya Taifa, hawatakuwa na pressure. Na hii imejionesha mechi zote anacheza awaya anacheza vizuri na kupata matokeoa tofauti na ilivyotarijiwa, kumbuka mechi na Al Hilal, Monastir, Marumo, Rivers.
Unasema Yanga inaubora upi kushinda Simba iliyomtesa wydad kwake mpaka kamasi linamchuruzika huku ikijichagulia namna ya kujipigia uto ikitandaza kabumbu la viwango vya champions league?Yanga watafanya vizuri
Hata Simba tu walichofanya dhidi ya Wydad ni dhahiri Yanga wenye ubora zaidi wanaweza.
Mimi ni Simba lakini ila nawaombea kheri YangaKila la heri
ila moyoni unajua ukweli ni upiUnasema Yanga inaubora upi kushinda Simba iliyomtesa wydad kwake mpaka kamasi linamchuruzika huku ikijichagulia namna ya kujipigia uto ikitandaza kabumbu la viwango vya champions league?
Alicheza vizuri , alitandaza soka safi na kwa utulivu.Uto unasema game ya away against al hilal ulipata matokeo gani? ebu tukumbushe kidogo.
Yanga mechi ya pili ni rahisi kwao kuliko ya Taifa, hawatakuwa na pressure. Na hii imejionesha mechi zote anacheza away, anacheza vizuri na kupata matokeo tofauti na ilivyotarijiwa, kumbuka mechi na Al Hilal, Monastir, Marumo, Rivers.
Yanga watafanya vizuri
Hata Simba tu walichofanya dhidi ya Wydad ni dhahiri Yanga wenye ubora zaidi wanaweza.
Simba msimu huu kaambulia nini? No ngao ya jamii, no ligi kuu, no FA, bado kuna ubishi???Yanga ni bora zaidi ya SimbaUnasema Yanga inaubora upi kushinda Simba iliyomtesa wydad kwake mpaka kamasi linamchuruzika huku ikijichagulia namna ya kujipigia uto ikitandaza kabumbu la viwango vya champions league?
Idiot unawafananisha Waydad na USM Alger ...Yanga mechi ya pili ni rahisi kwao kuliko ya Taifa, hawatakuwa na pressure. Na hii imejionesha mechi zote anacheza away, anacheza vizuri na kupata matokeo tofauti na ilivyotarijiwa, kumbuka mechi na Al Hilal, Monastir, Marumo, Rivers.
Yanga watafanya vizuri
Hata Simba tu walichofanya dhidi ya Wydad ni dhahiri Yanga wenye ubora zaidi wanaweza.
Kwamba uto ni hatare?ila moyoni unajua ukweli ni upi
Je hujui kwamba wakati unakutana na al hilal alikuwa katoka pre season na ligi ya nchini mwake haikuwa imeanza?Alicheza vizuri , alitandaza soka safi na kwa utulivu.
Sawa uto ni zaidi ya simba, na je kuhusu Usm Alger nikweli mtampiga kwake?Simba msimu huu kaambulia nini? No ngao ya jamii, no ligi kuu, no FA, bado kuna ubishi???Yanga ni bora zaidi ya Simba
Ulikuwemò mawazoni mwake/ akilini mwake? Acha kuongea hisia zako, NYANKUNDOHata goli la pili alilofungwa Yanga Juzi , lilitokana na Mayele kushangilia kupita kiasi goli lake la kusawazisha , hii ni kwa vile aliamini aliongoza ufungaji kwa mabao yake 7
Mtu kama huyu mbinafsi hafai , Nashauri apigwe chini kwenye game ya marudiano angalau kwa dk 45 za mwanzo ,nimewapeni yanga game plan , Kazi ni kwenu .
Huna uhalali wa kuzungumzia hili maana wewe ni mshabiki kindakindaki wa simbaHata goli la pili alilofungwa Yanga Juzi , lilitokana na Mayele kushangilia kupita kiasi goli lake la kusawazisha , hii ni kwa vile aliamini aliongoza ufungaji kwa mabao yake 7
Mtu kama huyu mbinafsi hafai , Nashauri apigwe chini kwenye game ya marudiano angalau kwa dk 45 za mwanzo ,nimewapeni yanga game plan , Kazi ni kwenu .
Hata goli la pili alilofungwa Yanga Juzi , lilitokana na Mayele kushangilia kupita kiasi goli lake la kusawazisha , hii ni kwa vile aliamini aliongoza ufungaji kwa mabao yake 7
Mtu kama huyu mbinafsi hafai , Nashauri apigwe chini kwenye game ya marudiano angalau kwa dk 45 za mwanzo ,nimewapeni yanga game plan , Kazi ni kwenu .
Achana nae huyo mtoa mada maana ni "NYAKIBHONO"Ulikuwemò mawazoni mwake/ akilini mwake? Acha kuongea hisia zako, NYANKUNDO
Jinsi unavyoleta taarifa kishabiki kwenye mpira (wewe ni kolo) ndio hivyo unafanya hata taarifa zako kwenye siasa zisiaminike.Hata goli la pili alilofungwa Yanga Juzi , lilitokana na Mayele kushangilia kupita kiasi goli lake la kusawazisha , hii ni kwa vile aliamini aliongoza ufungaji kwa mabao yake 7
Mtu kama huyu mbinafsi hafai , Nashauri apigwe chini kwenye game ya marudiano angalau kwa dk 45 za mwanzo ,nimewapeni yanga game plan , Kazi ni kwenu .