Mayele, Djuma Shaban ni magarasa kule Congo; kikosi bora cha ligi yao hiki hapa

Mayele, Djuma Shaban ni magarasa kule Congo; kikosi bora cha ligi yao hiki hapa

CHIZI VITABU

JF-Expert Member
Joined
Jun 12, 2021
Posts
1,061
Reaction score
2,477
Ukiakaa ukiwasikiliza Utopwinyo wakielezea jinsi Juma shaban alivyo beki bora kutokea ligi ya congo au ukamsikia MSUKULE lopolopo linavyomuelezea kama una akili za kiutopwingo utawaamini.

Anyway ogopa sana matapeli hiki hapa kikosi bora cha ligi ya congo msimu uliopita na wachezaji bora maana utopwinyo walidai Mayele ndiye mfungaji bora kule Congo , hivi mbona haya majitu maongo sana? kha.

Nawakumbusha tu huyo kipa bora ndiye aliyekula goli 4 hapa dsm na goli moja kule kinshasa, watu wakaja na kisingizio oooh mmmeifunga as vita iliyochoka siyo ile ya kina makusu mara ghafla wakakimbili kwenye hiyohiyo team waliyosema imechoka kwenda kuokota magarasa.
Screen Shot 2021-10-18 at 14.22.36.png


bora.png
 
Mshageuka wakina nani?

Mayele hajawahi kuwa mfungaji bora na hata wakati anasajiliwa ilisema hivo kuwa alimfwatia mfungaji bora kwa magoli yake 12
Alaaa kuumbee na beki la barcelona Djuma shaban imekuwaje? naskia simba wamehonga illi Inonga apewe tuzo ya beki bora ionekane wamesajili kitasa
 
Alaaa kuumbee na beki la barcelona Djuma shaban imekuwaje? naskia simba wamehonga illi Inonga apewe tuzo ya beki bora ionekane wamesajili kitasa
mkuu unayumba, naona hakuna mwanasimba anakusapot kwa hili, mm simba ila sikusapot poa
 
Ukiakaa ukiwasikiliza Utopwinyo wakielezea jinsi Juma shaban alivyo beki bora kutokea ligi ya congo au ukamsikia MSUKULE lopolopo linavyomuelezea kama una akili za kiutopwingo utawaamini.

Anyway ogopa sana matapeli hiki hapa kikosi bora cha ligi ya congo msimu uliopita na wachezaji bora maana utopwinyo walidai Mayele ndiye mfungaji bora kule Congo , hivi mbona haya majitu maongo sana? kha.

Nawakumbusha tu huyo kipa bora ndiye aliyekula goli 4 hapa dsm na goli moja kule kinshasa, watu wakaja na kisingizio oooh mmmeifunga as vita iliyochoka siyo ile ya kina makusu mara ghafla wakakimbili kwenye hiyohiyo team waliyosema imechoka kwenda kuokota magarasa.
View attachment 1978562

View attachment 1978561
Kolo umeshaandika na ukiandika umeandika,hufuti[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Waende FIFA wakaunganishe na ile kesi ya Morison.

Haiwezekani wacongo wote pale jangwani asitokee hata mmoja.

TFF inawahujumu utopolo.
 
Ukiakaa ukiwasikiliza Utopwinyo wakielezea jinsi Juma shaban alivyo beki bora kutokea ligi ya congo au ukamsikia MSUKULE lopolopo linavyomuelezea kama una akili za kiutopwingo utawaamini.

Anyway ogopa sana matapeli hiki hapa kikosi bora cha ligi ya congo msimu uliopita na wachezaji bora maana utopwinyo walidai Mayele ndiye mfungaji bora kule Congo , hivi mbona haya majitu maongo sana? kha.

Nawakumbusha tu huyo kipa bora ndiye aliyekula goli 4 hapa dsm na goli moja kule kinshasa, watu wakaja na kisingizio oooh mmmeifunga as vita iliyochoka siyo ile ya kina makusu mara ghafla wakakimbili kwenye hiyohiyo team waliyosema imechoka kwenda kuokota magarasa.
View attachment 1978562

View attachment 1978561
Wale ni wastaafu wa as vita mdau wamesajiliwa msimu kuwapa ubingwa tu baada ya hapo wanarudi kwenye zama zao kila msimu kusajili kumi kufukuza kumi
 
Back
Top Bottom