Mayele huwa anajifunza sana kufunga na bahati anayo pia.
Senegal walipata goli dakika 45+1 ikawa 1-0.
Mayele aliingia dakika ya 84 na dakika ya 85 akafunga goli na mchezo ukaisha 1-1.
Kama kawaida yake, maamuzi ya haraka, kapata pasi kachungulia golini kashuti.
Huyu jamaa akirudi bongo hebu tumpokee atafanya vizuri iwe shirikisho au klabu bingwa, uwezo anao.
Senegal walipata goli dakika 45+1 ikawa 1-0.
Mayele aliingia dakika ya 84 na dakika ya 85 akafunga goli na mchezo ukaisha 1-1.
Kama kawaida yake, maamuzi ya haraka, kapata pasi kachungulia golini kashuti.
Huyu jamaa akirudi bongo hebu tumpokee atafanya vizuri iwe shirikisho au klabu bingwa, uwezo anao.