Mayele kaikoa DRC Juni, 6: FIFA World Cup Qualification Group B

Umkonto

JF-Expert Member
Joined
Dec 27, 2018
Posts
2,652
Reaction score
4,593
Mayele huwa anajifunza sana kufunga na bahati anayo pia.

Senegal walipata goli dakika 45+1 ikawa 1-0.

Mayele aliingia dakika ya 84 na dakika ya 85 akafunga goli na mchezo ukaisha 1-1.

Kama kawaida yake, maamuzi ya haraka, kapata pasi kachungulia golini kashuti.

Huyu jamaa akirudi bongo hebu tumpokee atafanya vizuri iwe shirikisho au klabu bingwa, uwezo anao.
 
Kwani aliondoka kisa uwezo ama watu walipanda dau? Simba msajilini nyie si ni club tajiri bongo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…