Mafiiiii matupu.TETESI, muda wowote kuanzia sasa mshambuliaji FISTON MAYELE anaweza kutambulishwa ndani ya klabu ya Simba SC,
✍️Hii ni baada ya Kocha mkuu wa timu hiyo Fadlu Davids, kuomba aongezewe mshambuliaji mwingine mpya ndani ya kikosi hicho tofauti na wale waliopo ndani ya klabu hiyo kwa sasa.
Paulo NewsView attachment 3067092
hadema ni kampuni sio chama cha siasa.Simba na yanga the same CCM and CHADEMA😆 ,msigwa Vs chama
Mkuu mbona umedumaa sana kifikra? Sometimes kukaa kimya ni bora kuliko kuandika jambo kama hiliSimba na yanga the same CCM and CHADEMA😆 ,msigwa Vs chama
Sasa unaongea nini? CHADEMA ni chama au deal la Mbowe na genge lake kupiga hela za ruzuki? Nani asiyejua?Mkuu mbona umedumaa sana kifikra? Sometimes kukaa kimya ni bora kuliko kuandika jambo kama hili
Tuongelee Mayele kuja Simba Achana na Mbowe/ChademaSasa unaongea nini? CHADEMA ni chama au deal la Mbowe na genge lake kupiga hela za ruzuki? Nani asiyejua?