Mayele ni maarufu nje na ndani ya Tanzania

Sababu ya umaarufu wa Mayele ni ipi?
 
Habari bila picha/video clip sawa na takataka tu
 
punguza matumizi ya mihadarati umaarufu wa mayele nje ya Tanzania ni upi? Team ya taifa wanaitwa wachezaji kama inonga na bangala wacheze hata mechi za kirafiki.

Team ya taifa Toka aondoke congo hajawai kuitwa,nje ya Tanzania mayele hajulikani popote.Kama vipi miliki nchi Yako awe maarufu nje ya Tanzania
 
Ushabiki maandazi tupunguzeni, ni vema ukaja na taarifa halisi kuthibisha huo umaarufu wake vinginevyo na ww utakuwa kundi la popoma!?
 
GREAT THINKER BYE BYE........

Umaarufu ni nini???

Sababu za umaarufu wake?????

Anafaidika nini na Umaarufu wake???

Anatumiaje umaarufu kutengeneza Fedha, Brand Nje ya uwanja????

JAMII FORUM TUMEINGILIWA NA VILAZA
 
Mayele ndo mchezaji pekee kufunga hat trick mbili club bingwa. Case close
Mayele ndo mchezaji pekee kufunga hat trick mbili club bingwa. Case closed

kwenye orodha ya magoli ya mayele club bingwa yapo mawili tu moja alifunga akiwa vita alifunga dhidi ya El mereck , lingine kafunga Al hilal akiwa yanga Hilo la atrick mbili ni mechi ya bonanza hayakuhesabiwa case understood.
 
kwenye orodha ya magoli ya mayele club bingwa yapo mawili tu moja alifunga akiwa vita alifunga dhidi ya El mereck , lingine kafunga Al hilal akiwa yanga Hilo la atrick mbili ni mechi ya bonanza hayakuhesabiwa case understood.
Hongera sana kwa ufafanuzi mkuu. Rekodi nyingine amewapasua makolo bao tatu zote kwenye ngao ya hisani
 
SI MLISEMA KWAMBA MOSES PHIRI AMECHEZA MECHI NYINGI KULIKO MAYELE

GOLI KUMI ZIKO PALEPALE [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hongera sana kwa ufafanuzi mkuu. Rekodi nyingine amewapasua makolo bao tatu zote kwenye ngao ya hisani
ngao za hisani ni mabonanza tu ndio maana inonga alinyanyua daruga dhidi ya sure boy hakuna hatua yoyote alichukuliwa, na bangala alinyoosha dole la kati hakuna aliyejali , hakuna kamati inakaa kujadili matokeo ya ngao ya hisani ni mchezo wa kumwagilia moyo .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…