Mwishokambi
JF-Expert Member
- Nov 23, 2020
- 390
- 1,425
Acha mihemkoBodi ya ligi, sikieni kilio cha watanzania, kumweka Bangala, Inonga na Mayele kuwania uchezaji bora ni kukosa weledi, mnaonekana nyie sio watu wa mpira, mpira wa miguu na hata ngumi ni mchezo wa wazi sana, Mayele alitakiwa kushindanishwa na Mpole na Sopu ili tujue mbivu na mbichi, mnauaibisha mpira wa Tanzania, msitafute migogoro isiyokuwa na msingi, msiturudishe enzi zile za marehemu Muhiddin Ndolanga.
Hakuna kitu hapo anabebwa tu sopu kamuonyesha nini maana ya ufungaji, jamaa kapiga goli 3 kwenye fainali kitu amabacho huyo fala wenu hatokaa hawezeMayele alitakiwa kushindaninishwa na
1 Mayele
2 Mayele
3 Fiston Kala Mayele
Kwa ujumla Hana mpinzani, kumwekea washindani ni unafiki tu wakati ukweli mna ujua.
Mayele ashindanishwe na Mayele maana ukishindwa kumla utamnywa tu goli anafunga Nkane watu wanashangilia Mayele style!,Mayele alitakiwa kushindaninishwa na
1 Mayele
2 Mayele
3 Fiston Kala Mayele
Kwa ujumla Hana mpinzani, kumwekea washindani ni unafiki tu wakati ukweli mna ujua.
Kama umaarufu ndiyo sababu ya mtu kuwa mchezaji bora hata balotel angeshachukua Ballon D'orMayele ashindanishwe na Mayele maana ukishindwa kumla utamnywa tu goli anafunga Nkane watu wanashangilia Mayele style!,
hata ukileta jeshi zima la waasi wa M23 wamdhibiti yeye hatafunga ila lazima atatoa assist kwa Feisal, Nkane, Chiko, Ambundo au Makambo!
Kiufupi anajua maana ya kucheza kitimu , ameshindikana na hakabiki!!
Washambuliaji wetu wazawa wajifunze kwa Mayele haji uwanjani kutafuta sifa za kufunga yeye tu ili ateteme bali anakuja kusaka ushindi wa Yanga nyie mkamieni mkabeni na kifaru na makombora ila dkk hazitaisha mtalia tu!
Ni haki yake kuwa NBC player of the year, mtz gani hamjui Mayele? mtoto gani mtaani hamjui Mayele? Nani asiejua kutetema kati yetu? Nani kaleta hamasa ya ligi mwaka huu? timu gani inakutana na Yanga bila wachezaji kujadili jinsi ya kumdhibiti Mayele? Mabeki wangapi wana injury kwa kuumia katika vita yao na Mayele mmoja Ame!!! Mayele kama Star wa Yanga ukiuuliza watu mtaani je Makolo FC nani star wao wengi watajibu ni Barabarani, MOooon na Matofali au wachache watasema Boko Haram, Sokoni au Magari labda!!
assists na magoli mengi , kujituma kwake rejea mechi na Polisi kule Arusha alipochomoka goli akafunga Ambundo ilikuwa mechi ngumu sana kwa Yanga kisha jazia na umaarufu wake Mayele!Kama umaarufu ndiyo sababu ya mtu kuwa mchezaji bora hata balotel angeshachukua Ballon D'or
Hakuna kitu hapo anabebwa tu sopu kamuonyesha nini maana ya ufungaji, jamaa kapiga goli 3 kwenye fainali kitu amabacho huyo fala wenu hatokaa haweze
Sopu anakabwa kama Mayele? Sopu siku akiifunga tena Yanga hat trick niambie nichangishe pesa ujengewe gorofa!Hakuna kitu hapo anabebwa tu sopu kamuonyesha nini maana ya ufungaji, jamaa kapiga goli 3 kwenye fainali kitu amabacho huyo fala wenu hatokaa haweze