Ambiente Guru
JF-Expert Member
- May 21, 2012
- 2,605
- 1,085
Nimeona kwenye taarifa za ITV Viwanda vya ndani na mawakala wa saruji wanapiga mayowe soko limeingiliwa na saruji toka nje. Wanasingizia ya nje inakwepa kodi. Kwani wawekezaji wao si wageni (Norway nk)?.
Ni kiashiria mwanachi ameanza pata ahueni ya bei. Mawakala wamepata faida siku nyingi kwa ukiritimba (monopoly).
Iweje kila kukicha wanajenga mashule lukuki, majumba na vituo vya biashara kama wao hawakwepi kodi?
Iweje Serikali (Mh. Kigoda) kuunda tume kuchunguza ushindani huu?
Serikali ipo kumlinda mwananchi au?
Ni kiashiria mwanachi ameanza pata ahueni ya bei. Mawakala wamepata faida siku nyingi kwa ukiritimba (monopoly).
Iweje kila kukicha wanajenga mashule lukuki, majumba na vituo vya biashara kama wao hawakwepi kodi?
Iweje Serikali (Mh. Kigoda) kuunda tume kuchunguza ushindani huu?
Serikali ipo kumlinda mwananchi au?