BilioneaPATIGOO
JF-Expert Member
- Jun 23, 2012
- 12,320
- 11,327
Mbabe wa ndondi duniani kwenye uzito wa kati kutoka nchini Marekani Floyd Mayweather ambaye alistaafu lakini ametangaza kurejea kwenye ndondi tena, ndio mwanamichezo anayelipwa pesa nyingi zaidi kwa msimu wa tano mfululizo.
Floyd hadi sasa ameongoza kwa kulipwa kiasi cha Trilioni mbili na bilioni mia na mbili na ushee (2,102,578,500,000)[emoji383][emoji383]Tsh
Sent using Jamii Forums mobile app
Floyd hadi sasa ameongoza kwa kulipwa kiasi cha Trilioni mbili na bilioni mia na mbili na ushee (2,102,578,500,000)[emoji383][emoji383]Tsh
Sent using Jamii Forums mobile app