Mazao yasiyo na mbegu ni kitu chanya au hasi?

Mazao yasiyo na mbegu ni kitu chanya au hasi?

Teleskopu

JF-Expert Member
Joined
May 5, 2017
Posts
702
Reaction score
767
Sijui kama ni maendeleo au ni kinyume chake.

Leo kuna mazao mengi yasiyo na mbegu.
11.jpg
Ukinunua mbegu ukazalisha mazao hayo, hicho unachovuna huwezi kukipanda kikazaa.
Ili upande tena, lazima ukanunue tena mbegu.

Haya yanatokana na na teknolojia ya kubadili vinasaba - genetically modified crops (GMO).
Kuna pia:
  • Mapapai
  • Viazi
  • Maharage,
Na pia kuna mayai yasiyoweza kutoa vifaranga.
Je, teknolojia hizi ni chanya au ni hasi?
Mwisho wake ni nini kule tuendako?

Je, wanaofanya mambo haya wana pia mpango wa kuwa na binadamu GMO?
 
Ni chanya pia ni hasi.

Chanya kwa wazalishaji mbegu, wanatengeneza system ya mzunguko wa hela kwao.

Hasi kwamba sio asilia vinaweza kusababisha matatizo ya kiafya but who cares. Watu siku hizi wapo after money sana.
 
Ni chanya pia ni hasi.

Chanya kwa wazalishaji mbegu, wanatengeneza system ya mzunguko wa hela kwao.

Hasi kwamba sio asilia vinaweza kusababisha matatizo ya kiafya but who cares. Watu siku hizi wapo after money sana.
Usemacho ni kweli mkuu. Ingawaje swai lako la "Who cares?" japo ni rhetorical, lakini ni zuri sana pia. Nafikiri at the personal level, we should care. Natakiwa niamue mimi kutojiachia kabisa. Huwezi kukwepa kula GMO, lakini angalau basi usiache kuchanganya na original. Itakuwa poa kwa afya
 
Ni chanya pia ni hasi.

Chanya kwa wazalishaji mbegu, wanatengeneza system ya mzunguko wa hela kwao.

Hasi kwamba sio asilia vinaweza kusababisha matatizo ya kiafya but who cares. Watu siku hizi wapo after money sana.
kweli mkuu, watu wanapenda fedha
 
Usemacho ni kweli mkuu. Ingawaje swai lako la "Who cares?" japo ni rhetorical, lakini ni zuri sana pia. Nafikiri at the personal level, we should care. Natakiwa niamue mimi kutojiachia kabisa. Huwezi kukwepa kula GMO, lakini angalau basi usiache kuchanganya na original. Itakuwa poa kwa afya
hiyo original unaipata wapi mkuu wangu
 
hiyo original unaipata wapi mkuu wangu
ni kweli inakuwa challenge kubwa. lakini kwa mtu ambaye ana hata kauwazi kwake kwa mita 5 kwa 3, unaweza kujipandia japo mbogamboga za kwenye makopo. Yaani ni ngumu lakini baadhi inawezekana
 
Sijui kama ni maendeleo au ni kinyume chake.

Leo kuna mazao mengi yasiyo na mbegu...
Mimi siungi mkono GMO maana naona ni hatari kwa uwepo wa binadamu.

Halafu ikitokea cross pollination hata yale ya asili yatatoa matunda ambayo huwezi kuyatumia kama mbegu
 
Mimi siungi mkono GMO maana naona ni hatari kwa uwepo wa binadamu.
Halafu ikitokea cross pollunation hata yale ya asili yatatoa matunda ambayo huwezi kuyatumia kama mbegu
umesema vema mkuu. Serikali ingetakiwa kuwa na mkakati wa kuhakikisha mbegu za asili zinadumishwa. Huko tuendako watu wachache watashikilia chakula na lazima watatu control vibaya sana tusipojilinda katika hili
 
umesema vema mkuu. Serikali ingetakiwa kuwa na mkakati wa kuhakikisha mbegu za asili zinadumishwa. Huko tuendako watu wachache watashikilia chakula na lazima watatu control vibaya sana tusipojilinda katika hili
Kabisa he who controls food, controls the human race
 
Hii kitu ina matokeo hasi hasa Kwa nchi za dunia ya 3

Watatupa masharti tukikataa hawana haja ya economic sanctions..wanatunyima mbegu Tu ili tufe njaa[emoji16][emoji16]..hizi GMO ni tishio Kwa uchumi wa 3rd world hasa Africa

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
 
Hii kitu ina matokeo hasi hasa Kwa nchi za dunia ya 3

Watatupa masharti tukikataa hawana haja ya economic sanctions..wanatunyima mbegu Tu ili tufe njaa[emoji16][emoji16]..hizi GMO ni tishio Kwa uchumi wa 3rd world hasa Africa

Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app
Asante mkuu. Hayo ndiyo maono ya mbali na mbele ambayo kama nchi tunatakiwa kuyaona na kuyatendea kazi mkuu.
 
Back
Top Bottom