Mazayuni wanakiri miujiza na maajabu wanayokumbana nayo Gaza

Akiongea na waandishi wa habari,Netanyahu amesisitiza kuwa mpaka malengo waliyojiwekea yakamilike ambayo moja wapo ni kutokomeza kundi la hamas,netanyahu ameongeza kuwa hamas wanapelekewa moto wa jehanamu na pia wanaowasaidia.
============================
Israel will continue its war against Hamas until the group is "eliminated", Benjamin Netanyahu has said in the face of growing international criticism of the IDF's military operation in Gaza.

Speaking to reporters, the Israeli prime minister said: "We continue the war until the end. It will continue until Hamas is eliminated - until victory.

"We will not stop fighting until we achieve all of the goals we have set: the elimination of Hamas, the release of our hostages and the removal of the threat from Gaza.

"We are attacking Hamas with infernal fire.

"Everywhere, including today. We also attack their assistants from near and far. All Hamas terrorists, from the first to the last, are dead men. They have only two options: surrender or die."



Kimbembe wanachokutana nacho mazayuni huko, hawana hamu. Wanatafuta pakutokea.
 
mazayuni hawataki hata litajwe jina la yesu kwao, ukitaja jina la yesu ni kosa la jinai.

Hapo sasa!
Hapo wamekutana mashetani wawili wanapigana.
Wote hao dawa yao ni Jina la Yesu Kristo!
 
Hapo wamekutana mashetani wawili wanapigana.
Wote hao dawa yao ni Jina la Yesu Kristo!
Yesu mwenyewe walimuuwa hao wayahudi, au umesahau?

Waislam Yesu kwetu ni mtume wa Mwenyeezi Mungu, tunamheshimu na kumokumuenzi kama mitume wote tuliofundishwa kwenye Qur'an.

Mama'ke Yesu kwenye Qur'an ametajwa kuwa ni mbora katika wanawake wa duniani.
Unajuwa mazayuni kuwa hawataki kusikia jina hata mla mama'ke Yesu na wanamtukana matusi ya nguoni, hayafai hata kuyataja kwa mwanamke bora kama huyo.
 
Ukimpenda Yesu jinni halikai ndani yako milele!
 
Ukimpenda Yesu jinni halikai ndani yako milele!
Yesu ni mtume wa Mwenyezi Mungu hahusiani kabisa na majinni.

Yesu mwenyewe alikubwa na jinni ovu kwa siku 40 kwa mujibu wa biblia au umesahau?

Msimkuze binadam mwenzenu kwa kudanganywa na kanisa mpaka mnamfanya mungu. Kuweni na ukweli wa nafsi zenu kidogo.
 
Kama huamini siku ukikaa na majinni sema TOKA KWA JINA LA YESU!
af utaona Kimbembe chake
 
Hicho ndicho kitakachowaaibisha waarabu wanaoizunguka Palestina ambao wamekaa wanaangalia tu wenzao wakiuliwa.,
Abu Ubaida anashangaza kweli kwani kila siku anatoa taarifa za muendelezo wa vita maeneo yote ya Gaza. ambayo inasemekana yamezingirwa na IDF.wapiganaji wake wanatoa video za kukatisha tamaa kwa Israel
Gaza city ndio eneo la kutisha kwa Israel.Wamezingira lote na wmepiga hospitali zote na watu wamewahamisha kwenda kusini.Kinachoshangaza kila siku wanaua watu lakini mitaa bado imejaa watu.Jee wana handaki kutoka kusini ambalo hawajaliona au watu wanazaliwa na kukua kwa haraka kama vifaranga !
Upo uwezekano kuwa huyu abu Ubaida wa kikosi cha Alqassam hata viongozi wa Hamas hawamjui.
 
Kama huamini siku ukikaa na majinni sema TOKA KWA JINA LA YESU!
af utaona Kimbembe chake
Wewe unaamini binadam mwenzio kuwa ni mungu? Makanisani ndiyo nyumbani kwa mashetani.

Kuwa jinni siyo tatizo kabisa, tatizo kuwa shetani, uwe wa kibinadam au wa kijinni.

Pole sana.
 
Waarabu wepi unaongelea? Wale walioanzishiwa nchi zao na mazayuni na wapo chini ya mikataba ya ulinzi na mazayuni? Hao ndiyo wa kwanza kuwakandamiza Wapalestina , jionee hii historia niliwahi kuileta humu:

Your browser is not able to display this video.
 
Wewe unaamini binadam mwenzio kuwa ni mungu? Makanisani ndiyo nyumbani kwa mashetani.

Kuwa jinni siyo tatizo kabisa, tatizo kuwa shetani, uwe wa kibinadam au wa kijinni.

Pole sana.
Sasa kwanini ukiyaambia TOKA KWA JINA LA YESU! yanapoteana?
Kuna tatizo gani kati ya YESU KRISTO na majinni?
 
Hamas, silaha zao wanatengeneza wenyewe, sasa hivi wanazitengenea mapangoni.

Bunduki yao maarufu inayofyatuwa vifaru na magari ya deraya ya kiyazayuni wanaiunda wenyewe, kuanzia bunduki yenyewe mbapa risasi zake.

Kumbuka kuwa vifaru vy akizayuni ndivyo vinaaminika kuwa ni bora kabisa duniani kuliko vingine vyote, lakini Hamas wameviwezea silaha yake wanayoitengeneza kutokana na vyuma chakavu (scrap). Silaha ya inaitwa "ghoul" Kingereza. Maana yake Kiswahili ni kama kusema "mzuka unaokula maiti". Jionee ghouls zinavyoundwa chini ya ardhi:

Your browser is not able to display this video.
 
Mollel kaponzwa kwa kuvaa nguo ya kijeshi hali si mwanajeshi kwa kuvaa boxer ya kijeshi uenda Wakifika Israel wanaingizwa jeshini.
Uenda hamas walipoona boxer ya kijeshi wakajua ni foreigner mamluki
Kulikoni zama hizi za vita Israel iitaji vibarua wa kazi za shambani toka Africa uenda wanataka wapiganaji
 
Unajidanganywa tu, wajinga ndiyo waliwao.
Kwenye dini ya pedophile Muhammad ndio waliwao

Jibu hili swali
Tunajua Mali za wizi (ngawira) nusu ya Muhammad Ali spend na mtoto wa miaka 6 Aisha sasa nusu ya Allah ,Allah aliipataje ? au jibril alikuwa anampelekea?

Koran8:1. Wanakuuliza juu ya Ngawira. Sema: Ngawira ni ya Allah na Muhammad.....
 
Hesabu 23:23
[23]Hakika hapana uchawi juu ya Yakobo,
Wala hapana uganga juu ya Israeli.
Sasa habari za Yakobo na Israeli zitasemwa,
Ni mambo gani aliyoyatenda Mungu!
Surely there is no enchantment against Jacob, neither is there any divination against Israel: according to this time it shall be said of Jacob and of Israel, What hath God wrought!
 
Majini ni viumbe wa Mwenyezi Mungu ambao wako waislamu
Soma 😂😂 waislamu mnalindwa na shetani na Kuna wakristo kitabu Chao kimesema ulinzi wao ni Malaika

Soma
Wakristo wanalindwa na Malaika
Psalm 91:11”For He will give His angels charge concerning you, to guard you in all your ways.

Waislamu wanalindwa na mapepo
Allah anasema
, “Each one of you has a devil-companion from the jinn over him.” saḥīḥ Muslim 2814
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…