Ukisha like, utaona maandishi yanatoka kulia kwenda kushoto. Japo hujawahi kuona hali hio, ila usishangae, nitakufundisha PM ukitaka. (endapo una diploma ya IT, au mambo ya computer).
Sehemu ya hayo maandishi yataandika mji uliopo, kisha utafungua INBOX yako utakuta meseji yenye kodi. Andika hizo kodi katika ku-reply uzi huu. Baada ya kuandika kwa ku-reply hutoona hizo kodi, bali utaona maneno ya kiswahili ambayo hukuyaandika wewe, japo yameandikwa na account yako ya JF
N.B
Soma vizuri maelekezo, ili ushuhudie wataalamu wa kucheza na mitandao.