Mazingaombwe na Mapawa wako wapi miaka hii

Mazingaombwe na Mapawa wako wapi miaka hii

lukwila

Member
Joined
Dec 3, 2017
Posts
45
Reaction score
60
Nimefikiria mbali wakati nimetulia zangu kitandani,miaka hiyo kwenye 90 kulikuwa na vitu vingi vya burudani mashuleni
Mara anakuja jamaa anaendesha baiskeli juu ya paa na kamba,mara anabadili vitu kuwa chakula kama jojo na pipi au biskuit nk

Kulikuwa na watu vilevile wenye nguvu za ajabu wakijulikana kwa jina la power
Namkumbuka power musoma,manyama na mangwana.....
Unakuta mtu anavuta gari kwa kuuma kamba na mzigo unasogea...
Wapu siku hizi haya mambo
 
Maendeleo ya science na teknolojia yamewapoteza na wao wameshindwa ku modify industry yao ili iweze kuwa accepted na new generation ya digital age.
 
Wtz tu tupo nyuma..fursa ya mazingaumbwe ni kubwa sana,ukipata wana magician wa ukweli,ukiandaa show yako kila wkend sehemu kama mlimani cty,unaanda show ya kufa mtu,magic za ajabu basi utapata wateja sana,wkend watu wamechoka kwenda maclub wanataka vitu tofauti
 
Wtz tu tupo nyuma..fursa ya mazingaumbwe ni kubwa sana,ukipata wana magician wa ukweli,ukiandaa show yako kila wkend sehemu kama mlimani cty,unaanda show ya kufa mtu,magic za ajabu basi utapata wateja sana,wkend watu wamechoka kwenda maclub wanataka vitu tofauti
Ila nadhani lazima uwe na uwezo mkubwa wa miujiza na nafikri hata wataalamu pengne wamekwisha wapo wababaishaji
Maendeleo ya science na teknolojia yamewapoteza na wao wameshindwa ku modify industry yao ili iweze kuwa accepted na new generation ya digital age.
 
Wtz tu tupo nyuma..fursa ya mazingaumbwe ni kubwa sana,ukipata wana magician wa ukweli,ukiandaa show yako kila wkend sehemu kama mlimani cty,unaanda show ya kufa mtu,magic za ajabu basi utapata wateja sana,wkend watu wamechoka kwenda maclub wanataka vitu tofauti
Unaonaje tukiunganisha nguvu tuwatafute wataalamu wa hayo mambo waje wapige show hapo MC na sisi waandaaji wa show.
 
Unafurahia ulivyokuwa unapigwa ile michango ya sh 10 kwa kichwa?
Anyway, nakumbuka Power Mabula alikuwa anavuta gari kwa meno
 
Ila nadhani lazima uwe na uwezo mkubwa wa miujiza na nafikri hata wataalamu pengne wamekwisha wapo wababaishaji
Magic sio miujiza ni trick tu..ambazo unatumia muda mwingi kujifunza,yani ni trick za kawaida kabisa
 
Kama wewe ni mpenzi wa american got talent kaangalie kule utaona vijana wadogo wakifanya magic za ajabu
 
Mabadiliko ya kiteknolojia yamewapoteza! Leo kuna smartphone applications zinawaweka watu bize kuliko huo uongo wa kitoto, Kwa wanaoangalia series kuwatazama hawa mapawa wa siku hizi hapa kwetu itakuwa kituko kingine.
 
Power Mabula
Power Mwanakuria[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji38] [emoji38] [emoji38] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji377] [emoji377] [emoji377] [emoji124] [emoji125] [emoji125]
 
Kama walivyopotea! ndivyo ata wataalamu wa fani mbali mbali hupotea nchini maana mifumo yetu ni ya kushtukiza kesho hivi kesho vile.Taifa linahitaji Great thinkers!
 
Back
Top Bottom