Ila nadhani lazima uwe na uwezo mkubwa wa miujiza na nafikri hata wataalamu pengne wamekwisha wapo wababaishajiWtz tu tupo nyuma..fursa ya mazingaumbwe ni kubwa sana,ukipata wana magician wa ukweli,ukiandaa show yako kila wkend sehemu kama mlimani cty,unaanda show ya kufa mtu,magic za ajabu basi utapata wateja sana,wkend watu wamechoka kwenda maclub wanataka vitu tofauti
Maendeleo ya science na teknolojia yamewapoteza na wao wameshindwa ku modify industry yao ili iweze kuwa accepted na new generation ya digital age.
Unaonaje tukiunganisha nguvu tuwatafute wataalamu wa hayo mambo waje wapige show hapo MC na sisi waandaaji wa show.Wtz tu tupo nyuma..fursa ya mazingaumbwe ni kubwa sana,ukipata wana magician wa ukweli,ukiandaa show yako kila wkend sehemu kama mlimani cty,unaanda show ya kufa mtu,magic za ajabu basi utapata wateja sana,wkend watu wamechoka kwenda maclub wanataka vitu tofauti
Magic sio miujiza ni trick tu..ambazo unatumia muda mwingi kujifunza,yani ni trick za kawaida kabisaIla nadhani lazima uwe na uwezo mkubwa wa miujiza na nafikri hata wataalamu pengne wamekwisha wapo wababaishaji
Hapo lazima mkono wa ruge uhusike sana..promotionUnaonaje tukiunganisha nguvu tuwatafute wataalamu wa hayo mambo waje wapige show hapo MC na sisi waandaaji wa show.
Tusimame ss kama ssi bila rugeHapo lazima mkono wa ruge uhusike sana..promotion