Serikali imekuwa ikisema kuwa inaweka mazingira wezeshi ili watu waweze kufanya biashara huwa sielewi maana yake.a
Hivi karibuni rafiki yangu Mmoja ameingia mkataba wa kuingiza Herbal Products lakini kutuma pesa nje imekuwa tabu. Mana anatuma hela kwa Moneygram lakini utumaji huu ni lazima upate kibali kutoka BOT. Aliambiwa alete documents zote kuhakikisha kuwa ni biashara halali akaleta lakini bado anamabiwa hawezi kutuma zaidi ya lakini tano kwa mkupuo. Akiuliza anambiwa kwasababu ya Money laundering.
Hivi hii sheria ya Money Lundering ( fedha chafu) inafanya je kazi?
Naomba kuwasiliasha
Hivi karibuni rafiki yangu Mmoja ameingia mkataba wa kuingiza Herbal Products lakini kutuma pesa nje imekuwa tabu. Mana anatuma hela kwa Moneygram lakini utumaji huu ni lazima upate kibali kutoka BOT. Aliambiwa alete documents zote kuhakikisha kuwa ni biashara halali akaleta lakini bado anamabiwa hawezi kutuma zaidi ya lakini tano kwa mkupuo. Akiuliza anambiwa kwasababu ya Money laundering.
Hivi hii sheria ya Money Lundering ( fedha chafu) inafanya je kazi?
Naomba kuwasiliasha