kluger
JF-Expert Member
- Jun 16, 2016
- 2,093
- 1,899
Salaamu kwenu!
Moja kwa moja kwenye Mada.
Mheshimiwa Rais najua unapitapita humu JamiiForums au hata watu wako wa karibu pia.
Nina ombi moja kwako kuhusu hali ngumu ya Biashara hapa nchi kwa hivi sasa.
Tunajua wewe ni Rais wa wanyonge jaribu kuwa na jicho huruma kwa wafanyabiashara wadogo.
Kodi zimekuwa kubwa mno na kiwango cha juu sana kiasi kwamba hvi sasa watu wanafunga Biashara zao na hakuna zinazoanzishwa. Umaskini unazidi kukidhiri.
Tunakuomba Waziri wa fedha mfikishie salamu mheshimiwa Rais, tunaomba mpitie tena kwa mpango wa dharura hali za Biashara kwa wafanyabishara wadogo. Punguzeni kodi kwnye bidhaa muhimu, za matumizi muhimu ya kila siku, nguo vifaa vya Ujenzi na vyakula.
Ondoeni kodi kulipwa kabla ya kuanza Biashara hapa si kwamba mtu hata lipa la hasha, bali baada ya miezi mitatu kagueni Biashara hiyo mpya na kumkadiria mtu kodi anayostahili.
Tanzania tumebarikiwa bandari, vitu vyote vinaingia hapa ndipo viende nchi jirani kama Uganda, cha kushangaza [emoji853]bidhaa zetu hapa ni ghali kuliko huko uganda ambapo bidhaa hizo zinapita hapa nchini kwetu na kusafirishwa kwa umbali mrefu. Kukuhakikishia hili kuna wafanyabiashara wa Tanzania hufuata bidhaa Uganda na kuja kuuza Tanzania na kupata faida kubwa, hvi kwa nini hamtusaidii tujivunie kuona faida ya kuwa na bandari??
Punguzeni kodi walau kidogo, Tanzania iwe ni centre ya wafanyabiashara toka nchi zinazotuzunguka kuja kununua bidhaa kwetu kama ilivyokuwa Kariakoo ya hvi karibuni. Rwanda hawana bandari lakini bidhaa zao Bei ni kama Tanzania au hata chini ya hapo!
Mafuta ya magari ni Bei nafuu kenya, Mombasa kuliko Tanga, Tanzania.
I
Kodi inatakiwa iwe fair, rate ndogo ambazo mlipaji kufikiri kuzikwepa.
Maisha mnayoishi nyinyi naamini wengi hamfahamu taabu wanazopata wafanyabiashara wadogo.
Mnaumiza watu na kodi zenu kubwa na mazingira mabovu ya Biashara.
Moja kwa moja kwenye Mada.
Mheshimiwa Rais najua unapitapita humu JamiiForums au hata watu wako wa karibu pia.
Nina ombi moja kwako kuhusu hali ngumu ya Biashara hapa nchi kwa hivi sasa.
Tunajua wewe ni Rais wa wanyonge jaribu kuwa na jicho huruma kwa wafanyabiashara wadogo.
Kodi zimekuwa kubwa mno na kiwango cha juu sana kiasi kwamba hvi sasa watu wanafunga Biashara zao na hakuna zinazoanzishwa. Umaskini unazidi kukidhiri.
Tunakuomba Waziri wa fedha mfikishie salamu mheshimiwa Rais, tunaomba mpitie tena kwa mpango wa dharura hali za Biashara kwa wafanyabishara wadogo. Punguzeni kodi kwnye bidhaa muhimu, za matumizi muhimu ya kila siku, nguo vifaa vya Ujenzi na vyakula.
Ondoeni kodi kulipwa kabla ya kuanza Biashara hapa si kwamba mtu hata lipa la hasha, bali baada ya miezi mitatu kagueni Biashara hiyo mpya na kumkadiria mtu kodi anayostahili.
Tanzania tumebarikiwa bandari, vitu vyote vinaingia hapa ndipo viende nchi jirani kama Uganda, cha kushangaza [emoji853]bidhaa zetu hapa ni ghali kuliko huko uganda ambapo bidhaa hizo zinapita hapa nchini kwetu na kusafirishwa kwa umbali mrefu. Kukuhakikishia hili kuna wafanyabiashara wa Tanzania hufuata bidhaa Uganda na kuja kuuza Tanzania na kupata faida kubwa, hvi kwa nini hamtusaidii tujivunie kuona faida ya kuwa na bandari??
Punguzeni kodi walau kidogo, Tanzania iwe ni centre ya wafanyabiashara toka nchi zinazotuzunguka kuja kununua bidhaa kwetu kama ilivyokuwa Kariakoo ya hvi karibuni. Rwanda hawana bandari lakini bidhaa zao Bei ni kama Tanzania au hata chini ya hapo!
Mafuta ya magari ni Bei nafuu kenya, Mombasa kuliko Tanga, Tanzania.
I
Kodi inatakiwa iwe fair, rate ndogo ambazo mlipaji kufikiri kuzikwepa.
Maisha mnayoishi nyinyi naamini wengi hamfahamu taabu wanazopata wafanyabiashara wadogo.
Mnaumiza watu na kodi zenu kubwa na mazingira mabovu ya Biashara.