SoC04 Mazingira yetu Kwa afya zetu

SoC04 Mazingira yetu Kwa afya zetu

Tanzania Tuitakayo competition threads

hauleibrahim

Senior Member
Joined
May 17, 2024
Posts
183
Reaction score
125
Mazingira ni kitu Chochote kinacho mzunguka mwanadamu mfano mito milima na mabonde,bahari,misitu n vitu vingi sana vingi. Ila katika hayo mazingira pia yako mazingira ya kubuni n yako mazingira ya asili kabisa aliyo tupa mwenyezi Mazingira tukiyapenda yatatu tunza pia.

Kwenye mazingira yetu ya asili Kuna mbinu ambazo Ni endelevu ili kulinda mazingira yetu kiujumla kama ifuatavyo.
1.usafi: mazingira ili yadumu muda mrefu yanataka usafi wa mara Kwa mara ili kuyalinda na kuwa endelevu kuwepo.

2.teknolojia itakayo punguza uzalishaji kemikali: tuwe na teknolojia za kawaida au tujifunze teknolojia za kawaida za kuzalisha baadhi ya matilio ili tuweze kutunza mazingira.pia tunaweza kutumia teknolojia kubwa ila tuwape elimu hao wazalishaji ili kulinda mazingira endelevu kuwepo misitu ya asili udongo n.k

3 namna Bora ya kuchakata takataka:mazingira yetu ili yazidi kuwa Bora na mazuri ya kudumu ni vizuri kuwa na namna Bora ya uchakataji wa taka taka zetu tunazo zalisha sehemu na maeneo mbali mbali mathalani majumbani maji taka.

4:elimu Kwa jamii ya utunzaji wa mazingira na umuhimu wa mazingira:hpa ndo tunapo sema ili mazingira ya dumu muda mrefu ni vizuri kuwepo au watu wanao hatoa elimu ya mazingira mfano kuchumba mchanga mitoni waache labda wale wanao mwaga kemikali viwandani nao kuacha hii itasaidia kutunza mazingira.

5:tutunze mazingira:utunzaji mazingira utasaidia kutufanya tuwe na afya tele na nguvu tele za kuendelea kuishi huku tukiwa na mazingira mazuri. Pia ya kuvutia viumbe hai wote.

Hitimisho:tukitunza mazingira yatatutunza pia mazingira ndani uamebeba vitu vingi.
 
Upvote 0
Katika watu wapumbavu wewe ni miongoni mwao.

Achilia mbali huo ujinga ulioandika, lakini hata kanuni za ushiriki umeshindwa kuzi-zingatia.

Umeambiwa andishi liwe na maneno kati 700-1000.

Sasa angalia word count ya andishi lako; uone kiasi chako cha ujinga; given the rules.

Watu amasomi ata kanuni za ushiriki.
 
Katika watu wapumbavu wewe ni miongoni mwao.

Achilia mbali huo ujinga ulioandika, lakini hata kanuni za ushiriki umeshindwa kuzi-zingatia.

Umeambiwa andishi liwe na maneno kati 700-1000.

Sasa angalia word count ya andishi lako; uone kiasi chako cha ujinga; given the rules.

Watu amasomi ata kanuni za ushiriki.
Haaaa Asante sana kwa kusom Kwa kuhesabu maneno ila mm sikulenga hilo kama shindano ila nimeandikaa kama kutoa tu ushiriki wa nilicho nacho kichwani Nina sababu zangu.

Kwa heshima tu siku nyingine acha kumtukana mtu ukiwa hujui Kwa nn kaandika tofauti n kile kilicho wekewa kama masharti n nikukumbushe ulivyo nikumbusha mm nafahamu ila usicho kijua wew ni kwamba Kwa nn nimezidisha maneno ndicho ulipaswa kuja kuniuliza n sio kutumia lugha ambazo zinaonesha nawe una makasiriko.
Vya kuandika viko vingi mkuu na nimesha andika huko nyuma Sasa punguza makasiriko unapotaka kushauri jambo mtu tumia hekima n busara sio matusi
 
Wewe unataka tu kunilaumu wakati umejiweka wewe mwenyewe kama mfano wa watu wasiozingatia masharti.

Achana na ubora wa hoja zako.

Iła angalia maneno uliyoandika yanafika 700 lkama minimum requirement ya shindano.

Mambo mengine mnajitakia wenyewe.
 
Wewe unataka tu kunilaumu wakati umejiweka wewe mwenyewe kama mfano wa watu wasiozingatia masharti.

Achana na ubora wa hoja zako.

Iła angalia maneno uliyoandika yanafika 700 lkama minimum requirement ya shindano.

Mambo mengine mnajitakia wenyewe.
Nacho kulaumu huna heshima y kauli huwezi nitamkia maneno ya hovyo kama ulini lipia ada ya masomo.

Ungekuwa mtu smart na busara unge shauri Kam mtu mwenye akili timamu na utu sio kuniiuta ulivyo niitana kunitamkia maneno yasiyo na stars hata nikimpa baba yako ayasome atakushanga.huwezi niita mm mpumbavu huni jui Wala kunifahamu Wala hatufahamiani unanipachika jina eti kisa andiko kuto kukidhi vigezo na kuona nilicho andika hukubaliani nacho.
Jifunze juheshimu usio wajua Kuna mahali utaingia na kauli zako hizi itaku cost uone watu n wabaya kumbe kauli zako zilichochea.


Mm sikukulazimisha usome Wala ucomment lakini nimeshangaaa mtu unae jiona uko smart unatoa lugha chafu nimeshindwa kukuelewa usafi wako wa akili ndio kutoa maneno hayo.

Kwa ushauri wangu siku nyingine andiko la mtu kama hujalipenda achana nalo tafuta maandiko yatakayo kuvutia uyasome ulidhike.sio kutoa lugha ulizo nitokea kama ada ulini lipia wew wakati nasoma ama bando unanipa wew.

Jifunze kuwa na adabu n watu usio wafahamu mitandaoni usichukulie watu kila mtu kishikaji shikaji ukamtolea lugha ulizo nitokea Kam mm ni mwanao wa kunizaa.
 
Wewe unataka tu kunilaumu wakati umejiweka wewe mwenyewe kama mfano wa watu wasiozingatia masharti.

Achana na ubora wa hoja zako.

Iła angalia maneno uliyoandika yanafika 700 lkama minimum requirement ya shindano.

Mambo mengine mnajitakia wenyewe.
Nacho kulaumu huna heshima y kauli huwezi nitamkia maneno ya hovyo kama ulini lipia ada ya masomo.

Ungekuwa mtu smart na busara unge shauri Kam mtu mwenye akili timamu na utu sio kuniita ulivyo niita na kunitamkia maneno yasiyo na stara hata nikimpa baba yako ayasome atakushanga.huwezi niita mm mpumbavu huni jui Wala kunifahamu Wala hatufahamiani unanipachika jina eti kisa andiko kuto kukidhi vigezo na kuona nilicho andika hukubaliani nacho.
Jifunze kuheshimu usio wajua Kuna mahali utaingia na kauli zako hizi itaku cost uone watu n wabaya kumbe kauli zako zilichochea.


Mimi sikukulazimisha usome Wala ucomment lakini nimeshangaaa mtu unae jiona uko smart unatoa lugha chafu nimeshindwa kukuelewa usafi wako wa akili ndio kutoa maneno hayo kisa andiko langu.

Kwa ushauri wangu siku nyingine andiko la mtu kama hujalipenda achana nalo tafuta maandiko yatakayo kuvutia uyasome ulidhike.sio kutoa lugha ulizo nitolea kama vile ada ulini lipia wew wakati nasoma ama bando unanipa wew.

Jifunze kuwa na adabu na watu usio wafahamu mitandaoni usichukulie watu kila mtu kishikaji shikaji ukamtolea lugha ulizo nitokea Kam mm ni mwanao wa kunizaa.
 
Back
Top Bottom