The Elephant
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 4,342
- 4,614
Kwenu mnazika watu na pesa
Kama ni kweli basi huo ni uchizi, mkataba (pesa) ni wa kwangu, nimeamua kuu-forfeit (kuuchana), which means ni faida kwa serikali, kwani nime forfeit ile haki yangu ya kudai huduma/bidhaa kwenye soko ambayo hupunguza inflation. Jiulize tu, kwanini serikali inakusanya kodi? Kwanini wasiwe tu wanachapisha pesa na kulipa mishahara, kujenga mabarabara, mashule na mahospitali? Kwanini wanahangaika kukaba watu kodi wakati wanaweza wakachapisha tu hizo pesa??! Jiulize usiwe kama msukule asietumia akili, jiulize hata kidogo tu..!!Hivi sheria zetu zinaruhusu suala hilo kwanza? Nilishawahi kusikia kuwa kuchana hela makusudi ni kosa kisheria hapa Tz [sina uhakika na hilo pia]. Vipi kuhusu kuzikwa nazo?
Elewa, pesa ni karatasi tu, it is worthless bila kile kitu inachokiwakilisha, lile karatasi ni mkataba baina yako na serikali, kwamba ukiwa na lile karatasi unakuwa guaranteed kupata bidhaa / huduma sawia na kiwango cha karatasi na thamani yake ulizonazo. Kwahiyo kama ameamua kuzikwa na mikataba yake aliyoingia na serikali(pesa) hii inamaana ameipa serikali unafuu kiasi kwamba inaweza kuchapisha noti zingine bila kusababisha inflation. Ni kama mtu alipie kodi nyumba mwaka mzima halafu aamue kutoishi, na kumpa ruhusa mwenye nyumba kuipangisha upya nyumba hiyo bila kumrudishia kodi yake. Hivyo ni kama amezikwa na makaratasi ya sh.100 tu which is nothing. Hivi nyie watu mtu mmeenda shule hata kidogo kweli?!
Haya wenye akili zenu, sisi tunaliangalia katika hali ya kijamii zaidi ni kufuru kabisa, hizo ni theory za kwenye vitabu tu mkuu. Sasa tukisema kila tajiri azikwe na pesa zake vitu ndo havitapanda? Na serikali itakuwa na kazi ya kuchapa pesa tu mkuu kwani kuchapa pesa hakuna gharama kwa Serikali nyie wataalamu?Zile karatasi alizozikwa nazo hazina thamani yeyote ile in the real sense, kwa kuzikwa na yale makaratasi ni kama ametoa mchango wake kwa jamii kwani amepunguza inflation na hivyo bei ya vitu itashuka, hata kama ni 0.00000000....01%. Tumia akili hata 1% tu na utaliona hili
Acha kukariri, infact its the opposite ya uhujumu uchumi, mkataba (pesa) ni wa kwangu, nimeamua kuu-forfeit (kuuchana), which means ni faida kwa serikali, kwani nime forfeit ile haki yangu ya kudai huduma/bidhaa kwenye soko ambayo hupunguza inflation. Jiulize tu, kwanini serikali inakusanya kodi? Kwanini wasiwe tu wanachapisha pesa na kulipa mishahara, kujenga mabarabara, mashule na mahospitali? Kwanini wanahangaika kukaba watu kodi wakati wanaweza wakachapisha tu hizo pesa??! Jiulize usiwe kama msukule asietumia akili, jiulize hata kidogo tu..!! (Nijibu kwa ku-counter hoja yangu na sio kukariri na mihemko, kinyume cha hapo sitakujibu tena)Kuzika mtu na pesa ni uhujumu uchumi mithili ya kuchoma moto pesa kwa maksudi.
RIP Ivan
Gharama ya kuchapa noti moja sh.10,000/= probably haizidi sh.1/= pengine, ila yule mtu anaondoa 10,000/= nzima kwenye mzunguko, hiyo inapunguza mzigo kwenye huduma/bidhaa sokoni, hivyo matajiri wote wakizikwa na pesa zao lazima demand ya bidhaa/ huduma kwenye soko itapungua na bei itashukaHaya wenye akili zenu, sisi tunaliangalia katika hali ya kijamii zaidi ni kufuru kabisa, hizo ni theory za kwenye vitabu tu mkuu. Sasa tukisema kila tajiri azikwe na pesa zake vitu ndo havitapanda? Na serikali itakuwa na kazi ya kuchapa pesa tu mkuu kwani kuchapa pesa hakuna gharama kwa Serikali nyie wataalamu?
Sikupenda kuchangia lakini comment yako imenivuta. Wale 'madon uchwara' walipokuwa wakielekea kwenye mazishi na magari yao ya personalized numbers na kifahari walisimamishwa sana njiani na vijana waliochoka wakiwaomba pesa na sidhani kama waliwapatia.
Okay sawq mtu unahela, okay sawa umetafuta kwa jasho lako, okay sawa hatukatai alokufa ni tajiri mwenzako, okay sawa tunaamini unaweza kumuekea hata milion sita kwenye jeneza...
Ila kweli kwa staili hii sio sawa ukizingatia kuna watu wameguswa na ule msiba ikiwemo familia na watu wa karibu. Sasa unavofanya ivo inaonekana kama uchuro.
Jeuri yako ya pesa si iishie kwenye daftari la rambirambi tu pale mbona inatosha?
Kama ni kweli basi huo ni uchizi, mkataba (pesa) ni wa kwangu, nimeamua kuu-forfeit (kuuchana), which means ni faida kwa serikali, kwani nime forfeit ile haki yangu ya kudai huduma/bidhaa kwenye soko ambayo hupunguza inflation. Jiulize tu, kwanini serikali inakusanya kodi? Kwanini wasiwe tu wanachapisha pesa na kulipa mishahara, kujenga mabarabara, mashule na mahospitali? Kwanini wanahangaika kukaba watu kodi wakati wanaweza wakachapisha tu hizo pesa??! Jiulize usiwe kama msukule asietumia akili, jiulize hata kidogo tu..!!
Elewa, pesa ni karatasi tu, it is worthless bila kile kitu inachokiwakilisha, lile karatasi ni mkataba baina yako na serikali, kwamba ukiwa na lile karatasi unakuwa guaranteed kupata bidhaa / huduma sawia na kiwango cha karatasi na thamani yake ulizonazo. Kwahiyo kama ameamua kuzikwa na mikataba yake aliyoingia na serikali(pesa) hii inamaana ameipa serikali unafuu kiasi kwamba inaweza kuchapisha noti zingine bila kusababisha inflation. Ni kama mtu alipie kodi nyumba mwaka mzima halafu aamue kutoishi, na kumpa ruhusa mwenye nyumba kuipangisha upya nyumba hiyo bila kumrudishia kodi yake. Hivyo ni kama amezikwa na makaratasi ya sh.100 tu which is nothing. Hivi nyie watu mtu mmeenda shule hata kidogo kweli?!Hivi hizo ni fedha? Kama ni ndiyo? Anazikwa nazoo? Kama ni ndiyo serikali inaruhusu kupoteza fedha au alimradi ni zangu naruhusiwa kuzichana , kuzichoma au kuzipoteza kwa namna yeyote? Naomba wajuvi mnijibu!
Basi turudi tu kwenye butter trade haahaaaGharama ya kuchapa noti moja sh.10,000/= probably haizidi sh.1/= pengine, ila yule mtu anaondoa 10,000/= nzima kwenye mzunguko, hiyo inapunguza mzigo kwenye huduma/bidhaa sokoni, hivyo matajiri wote wakizikwa na pesa zao lazima demand ya bidhaa/ huduma kwenye soko itapungua na bei itashuka
Okay poa. (Ila sijasoma sheria)Mkuu ingawa umesoma sheria lakini bado umjinga kwenye ufahamu wa mambo mengine, kumbuka Pesa ni alama ya Taifa kama Ngao, Bendera na Wimbo wa Taifa.
Sasa je tujiulize,
1.Mtu unaweza kununua bendera kwa pesa yako je unaweza kuipeperusha kwenye gari lako binafsi kama siyo kiongozi mwenye hadhi ya kupeperusha bendera au unaweza kuichana?
2. Je unaweza kuimba wimbo wa Taifa bar, harusini au sokoni ? Serikali si ilitufundisha tukiwa shule na sauti ni zetu lakini kwanini hatuimbi hovyo.
Kuna vitu tuna haki ya kumiliki lakini Serikali ndiye mwangalizi wa mwisho.
king lawrence mbona mkubwa? Pale hawakusema umri wa mtoto ila itakuwa huyo mtoto ni mdogo baada ya zari kuolewa kwa mdogo wake mond wenda ivan kuna sehemu alipita maana hata huyu mtoto pale hakuoneshwa alitoa maelezo kuwa marehemu ameacha watoto 4 na huyo wa nne hawamjuiHuyo mtoto wa nne sio huyo jamaa anajiita King Lawrence sijui nani mkuu!?
Ooh ok. Nashukuru kwa kunielewesha mkuu.king lawrence mbona mkubwa? Pale hawakusema umri wa mtoto ila itakuwa huyo mtoto ni mdogo baada ya zari kuolewa kwa mdogo wake mond wenda ivan kuna sehemu alipita maana hata huyu mtoto pale hakuoneshwa alitoa maelezo kuwa marehemu ameacha watoto 4 na huyo wa nne hawamjui