Katika pitapita yangu nimekutana na hii page facebook imeanzishwa alhamisi lakini hadi leo ina wafuasi 5000 hii ni kusema watu hawaitaki tena redio inayoonekana kukubalika na watu wengi au hujuma?page yenyewe ina lenga kuinua maslahi ya wasanii kwa kuelezea mabaya ya redio clouds inayooneesha kuteka mashabiki wa nchi nzima