Kufa Clouds Kufa kabisa.
Kufa Clouds Kufa kabisa.
Tupendane sasa ikifa itawasaidia nini Jamani .why so much hate uwiiiiii.ndio maana hatuendelei .peace peace and holiness .
kwa nini mnalazimisha watu kula upuuzi wenu?kwani ni lazima muendeshe kampeni hizi za kipuuzi mitandaoni?kwa nini watz tumejaaliwa roho za kishetani hivi?unataka kutuaminisha kuwa wasanii wote wanaoshiriki fiesta huwa wanashikiwa bastola na kulazimishwa kushiriki?who is jdee by the way?acheni majungu nafitina vijana mtaolewa!!!!chapeni kazi
watu siku hizi unyama unyama LIWALO NA LIWE...msije kuchinjana tu,yetu macho:A S clock: