shenz kabisa...
Ifie mbali
Katika pitapita yangu nimekutana na hii page facebook imeanzishwa alhamisi lakini hadi leo ina wafuasi 5000 hii ni kusema watu hawaitaki tena redio inayoonekana kukubalika na watu wengi au hujuma?page yenyewe ina lenga kuinua maslahi ya wasanii kwa kuelezea mabaya ya redio clouds inayooneesha kuteka mashabiki wa nchi nzima
Mkuu kwani Radio station wanapokua hewani, wanajuwa wanasikilizwa na nani. Au watu kiasi gani.kipindi nilivyokua nasilikiza clouds ni michezo extra! lakini nilivyopata story ya Lady Jydee kufanyia mtima nyongo na hao jamaa nimetupilia mbali hata hako kakipindi kao. Kama sera yao ni kuwanyonya vijana wa kitanzania walioamua kujiajiri kwenye mziki, hawana faida kwa jamii bola wafie mbali kabla hawajaleta madhara zaidi.
we nawe!! kisa cha kukoroga juice ya OMO!! USILAZIMISHE WATU KUWA NA MAWAZO KAMA YAKO! WE HATE THAT RADIO, PERIOD! udictator mpaka kwenye keyboard! Bujibuji mi miss u!kwa nini mnalazimisha watu kula upuuzi wenu?kwani ni lazima muendeshe kampeni hizi za kipuuzi mitandaoni?kwa nini watz tumejaaliwa roho za kishetani hivi?unataka kutuaminisha kuwa wasanii wote wanaoshiriki fiesta huwa wanashikiwa bastola na kulazimishwa kushiriki?who is jdee by the way?acheni majungu nafitina vijana mtaolewa!!!!chapeni kazi
Hao jamaa Clouds hawawezi kufa na njaa! Fani yao kubwa ni uchezeshaji disco tafuta file la Joseph Kusaga mtajua alianzia wapi maisha!
Mia[mkuu anadai alianza kupiga disco akiwa bado form 2 alipokua anasoma.
Asante mkuu kwakulijua hilo!
a very talented Musician who seek for her right and justice however many people including you and Ruge want her downkwa nini mnalazimisha watu kula upuuzi wenu?kwani ni lazima muendeshe kampeni hizi za kipuuzi mitandaoni?kwa nini watz tumejaaliwa roho za kishetani hivi?unataka kutuaminisha kuwa wasanii wote wanaoshiriki fiesta huwa wanashikiwa bastola na kulazimishwa kushiriki?who is jdee by the way?acheni majungu nafitina vijana mtaolewa!!!!chapeni kazi
najiuliza:..ikifa wangapi watafaidika,ajira ngapi zitapotea,ni wangapi wanafaidika na uwepo wa clouds?..(kuanzia wenye clouds mpaka mfanyakazi wa ngazi ya chini kabisa)..wangap wanawategemea hawa wanaofaidika na clouds?..tunalalamika hakuna ajira,na hapo tunataka kuua chanzo kimojawapo cha ajira,ili iweje?..tupate faida gani?
Mimi naona:kwa hili,ni bora kuziba ufa kuliko kujenga ukuta