Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 8,581
- 15,618
uharo huu hii akili za tobo lisuWadau, salam. Eti ni
kweli Mwalimu Julius Kambarage Nyerere hakuudhuria mazishi ya Abeid
Aman Karume mwaka 1972?
Ufafanuzi tafadhali.
Nenda Butiama kaulize kwenye kaburi lake huenda akakujibuWadau, salam. Eti ni kweli Mwalimu Julius Kambarage Nyerere hakuudhuria mazishi ya Abeid Aman Karume mwaka 1972?
Ufafanuzi tafadhali.
Alihudhuria na picha zipo nyingi na nakumbuka ndipo tulipoona ulinzi mkalikaribu na Nyerere kwa maana ya kuonekana bunduku hadharani.Wadau, salam. Eti ni kweli Mwalimu Julius Kambarage Nyerere hakuudhuria mazishi ya Abeid Aman Karume mwaka 1972?
Ufafanuzi tafadhali.
Hapo mmeniacha kidogo, tobo lisu ndo nani vile? Au ndo yule mlalamishi sana kule mjengoni?