Mazishi ya Mzee Mkapa: Kijana avutia watu kwa kuvaa fulana iliyotumika kwenye kampeni ya Urais kumnadi Mzee Mkapa

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
Kijana huyo amevutia waombolezaji wengi kwenye mazishi ya Hayati Mkapa kiasi kwamba kila mmoja kutamani kupiga picha naye. Sijafanikiwa kupata jina lake lakini anadaiwa kushika wadhifa wa Udiwani huko Mtwara.

Ikumbukwe Mkapa amehudumu Urais kuanzia mwaka 1995 - 2005 hivyo huenda fulana hiyo ilitengenezwa kati ya 1995 na 2000 wakati wa kampeni za kumnadi Hayati Mkapa.

Je, unahisi fulana hiyo itakuwa na umri gani?


 
Hizi ndiyo Swagger ambazo sizifagiliii, Mtu anapotumika Kama mtaji au nguvu kwa watu FULANI kufika hatua FULANI,

halafu anashindwa kujitambua na mbaya zaidi akiwa anaamini kuwa Umaskini ni Vazi la ufahari.
 
Miaka 20 imepita na Tshirt bado ina mtosha kama kaishona leo. Amaa kweli haya ni maajabu ya uchumi wa kati.
BTW Sio mwananchi wa 'Kawaida' Identity yake itatambulika hivi punde.
Hizo flana zitakuwa ni za baba yake huyo kijana na uenda alichukua nyingi kipindi hicho so dogo ķafunua mchago na kuibuka nayo hiyo kuuza nyago
 
Hii ni fulana iliyotumika uchaguzi wa mwaka 2000.
 
Hili nalo ni juhudi za awamu ya 5.. !!MaCCM !!
 
Tumefiwa wazee, ata ubwabwa wa msibani bado tumboni mnaanza zengwe
 
Kijana apewe support kuendeleza mazuri ya Marehemu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…