Umesahau kwamba JK kaingizwa madarakani na mfumo katoliki?
REJEA HII:
"KIKWETE NI CHAGUO LA MUNGU" (wa wakatoliki off course)!
Kisukari cha kutengenezwa...
innah lilah wainailaih Ruju, polen sana wafiwa pole pia kwa waislam wote ila sina uhakika kama kulikuwa na muakilishi yeyote wa bakwata hapo mazishini hususan sheikh wa mkoa wa dar!! wenye taarifa mtujuze!!Kwa hyo Kanumba na huyo sheikh umewaweka kwenye mizani ukaona sheikh ni mzito kuliko Kanumba? Mungu angekuwa kama mwanadamu cjui dunia hii ingekuwaje
Kikwete anaona bora aende msiba wa Kanumba kuliko wa Sheikh!Innalillah Wain illah Rajiun
Hivi huyu Kikwete akienda kwenye msiba kinatokea nini haswaa mpaka tulalame hasipotokea tunamchukulia raisi na ikulu yake kiwepesi sana kwamba anaweza kukurupuka tu kwenda kunywa kahawa au msibani hivi vitu vina utaratibu jamani ikulu ni sehemu nyeti mpaka afikr sehemu mengi yanazingatiwa,punguzeni kulalamika mbona hajaja na uyo sheikh kazikwa.
Ccm wamemuua huyu jamaa...
Kwa kanumba anaenda kuangalia mabeibeeeeeee
innah lilah wainailaih Ruju, polen sana wafiwa pole pia kwa waislam wote ila sina uhakika kama kulikuwa na muakilishi yeyote wa bakwata hapo mazishini hususan sheikh wa mkoa wa dar!! wenye taarifa mtujuze!!
Babu Slaa anaendaga kuangalia wake za watu!
Ningekuwa Mod ningekupa haki yako! na hii post ingekuwa ndio post yako ya mwisho JF mpaka mwisho wa dunia.
Watu wachochezi sana sasa Kisukari na CCM wapi na wapi?
Sio bure utakua unaabudu alama ya kujumlisha.
samahani mkuu. haya maneno "innah lilah wainailaih Ruju," au "Innalillah Wain illah Rajiun" nimeyaona mara nyingi sana humu kunapotokea misiba. bahati huwa nayaona yakitolewa na waislam bila kujali aliyefariki dunia ni mkristo au muislamu. huwa wanayadumbukiza tu. Hivi tafsiri yake sahihi ni nini hasa katika kiswahili rahisi? "innah lilah wainailaih Ruju," au "Innalillah Wain illah Rajiun"? hii ndo kusema nini?
Mkuu mbona unakuwa mwepesi wa kusahau.
Si nyie mliokuwa mnaambiane misikitini kuwa "Sasa ni zamu/wakati wenu" au umesahau?
Jamaa alikua na chuki balaaAsante Allah kwa kumuwahisha huyu jamaa. Mkirimie wale mabikira 72 wenye macho kama vikombe ahangaike nao. Sisi huku bongo alishatuchosha kwa chuki zake
AsanteInna lillah - hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu
Wainna ilayh rajiuun - na hakika kwake ni marejeo