Mazito ripoti ya CAG - Janeth Rithe: Matrilioni yatumika ‘juu kwa juu’... Serikali hoi kwa madeni! Ahofia ‘EPA’ nyingine BoT

Unatuletea story za LUGOLA na unifomu za Polisi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
¶ Mbinu ya Jiwe a.k.a Meko likely itakuwa ni ile ile kama ya 1.5trn ya kuitisha kikao kingine cha "makinikia" ili kujijitetea akiwa na serikali yake yote;

• Mawaziri wake wote
• IGP
• CDF
• Spika
• Jaji Mkuu
• Gavana - BoT
• Na mtu kati atakuwa CAG Kicheere na vijana wake

¶ SWALI KWA CAG Kicheere litakuwa lile lile "chakavu" la;

"....eti, CAG kuna ufisadi wa trillion 1.7 serikalini au hakuna....🤓🤓🤓🤓!!!??"

"....na eti wizara ya maliasili na utalii kuna ufisadi au hakuna....😳😳😳

😃😃😃!!!??"

Zito Kabwe ni mwanasiasa very technical sana....

Kwa hoja hizi, kwa hakika kabisa lazima serikali yote iamke na kukimbia mbwito mbwito kujaribu kufunika kombe ili mwana haramu spite....

Lakini this time sina hakika kama mwanaharamu huyo atapata mlango was kupitia...!!
 
Mtaarifu Zitto kuwa Serikali ya Awamu ya 5 inachapakazi kama kawaida propaganda zake hazimzui Tembo kunywa maji na mwisho wa ubunge wake ni Juni 30 2020 wananchi wa Kigoma wamemchoka na ulaghai wake!
 
Mjinga mwingine huyu. Kwa hiyo kama vituo vya afya vinajengwa kwa hiyo ni halali kuiba? Wewe baki unarusha mateke ya mwisho maana jimbo keshapewa Kitila.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unajua awamu zilizopita ni watu walikua wanaiibia serikali, sasa hivi ni serikali inajiibia yenyewe . halafu inabiga matrilioni. Hizi tarakimu ni kubwa kuliko ufisadi wowote tangu tupate uhuru

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Zitto saa hizi anatapatapa tu alijaribu kwa Accacia akashindwa sasa Accacia amepotea hapa TZ akaja na issue ya CAG mstaafu Assad naye pia amepotelea mbali akaja na issue ya mkopo wa World Bank pia amefeli. Hivyo Zitto hana cha maana katika propaganda zake yupo yupo tu lakini atawapata wasiojitambua ambao wengi wao hawana madhara yoyote kwenye Serikali na Watanzania kwa ujumla.
 
Akili ndogo na ngumu hujadiri watu while wengine wakijikita kwenye content au hoja.Ccm mna haki ya kuiba na kuteteana, sasa mtu mwenye akili Kama hii zaidi ya kazi ya kuteuliwa anaweza kufanya nini zaidi? Huyu hata ukimpa mtaji lazima afeli
 
Chama keshauza kwa wapemba, soon wanamtupa nje
 
Reactions: UCD
Mwingine huyu hapa,mr Bashite
 
Mkuu asante vile umenielewa, Mimi nitaiamini tarifa hii ya Zitto iwapo itathibitishwa na Mwingine, Kwa sababu Kwa sasa, Zitto amekuwa kama ni mtu wa jinsia moja hivi ktk Imani furani, akisimama atoe ushahidi wa Yeye peke yake hautakubalika, ushahidi wa jinsia hiyo hukubalika tu pindi watoa ushahidi watakapokuwa ni zaidi ya mmoja, ni Sawa na alivyo Mh Zitto Kwa sasa, haaminiki na hawezi kuaminiwa

Tangu alipokisaliti Chama chake kilichompa umarufu, amekuwa haeleweki na hatokuja kuaminika ni Hadi atubu,

Uteuzi wa CAG ulimsikia alichokisema mkuu? Sasa Iweje leo ripoti za CAG ambaye yeye alimzodoa huku akisema ni Magufuli wa pili, eti leo aanze kuona ni za Moto Kwa Magufuli kweli?

Mimi simwamini, Iweje leo hii Kwa ripoti hii aone inamtenganisha Magufuli na CAG?

Mwamini wewe mkuu
 
Chama Cha Mapinduzi hakina ubunifu wa kuleta viongozi bora ni dalili tosha kuwa kimeishiwa
Tatizo na upinzani wa bongo hauna umoja. Maslahi binafsi yamewekwa mbele sana. Hadi sasa sijaona umuhimu wa kuwa na utiriri wa vyama vya upinzani.
 
Well
 
Atukuzwe zwazwa wa uchumi, mtafuta kiki ya kisiasa.

Ripoti ya CAG imewasilishwa ikisubiri kujadiliwa na bunge. Pamoja na hilo, Rais ameagiza wahusika waanze kuchukua hatua. Zitto kama Mbunge, angefanya subira ndipo atoke hadharani.

Anajiaibisha na kudharilisha taaluma yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…