Rekebisha neno MSATIATI. Bali Kiswahili fasaha ni MSAMIATI.REKEBISHA NENO LEJA LEJA HATUNA MSATIATI HUO(REJAREJA) HAPO ITAKUWA POA.
Unauzaje kwa bei ya jumla.Kama unahitaji maziwa mtindi au fresh na cheese kwa jumla au reja reja karibu PROFET, tupo Tabata chama nyuma ya DAWASCO.
Huduma ya derivery ipo kwa wateja wakubwa na kwa wateja wa kawaida tutashea gharama za kukufikishia, pia tuna duka la kuuza maziwa Segerea mwisho na Kinyerezi mwisho pia
Maziwa yanapatikana kuanzia robo lita mpaka lita 5000.
Kwa mawasiliano: 0762036898
Karibuni sana.
Kwa uandishi huo (leja leja) hayo maziwa lazima yana maji tu
Na mji huu(dar) kila kitu kina udalali. Nasema kila kitu kinadalaliwa.Ukiona mtu anatoa tangazo haweki Bei jua ni dalali
Na mji huu(dar) kila kitu kina udalali. Nasema kila kitu kinadalaliwa.Ukiona mtu anatoa tangazo haweki Bei jua ni dalali