kati ya mapoyoy wewe unaweza kuwa mmoja wao tena poyoyo hasa. you can never change the nature, the only thing you can do is to conserve nature.
kamuulize Michael Jackson a.k.a wako jaco kilichomtokea ni nini baada ya kubadili muonekano wake, na pua!! haa alikuja kuzaa mtoto ni mweusi mkaa una afadhali, na ana pua ya kibantu haswaaaaa - thats nature
waulize wanaojaribu kujichubua na vipodozi lukuki, kila siku wanatahadharishwa na side effects zake, matokeo yake wote tunayajua - thats nature, huwezi kubadili rangi ya ngozi yako
cheki wanao pigwa 0173 - matatizo yake ni obvious kwasababu its against nature
naweza kukupa mifano hapa na kibaha
lakini yote kwa yote, a scientist of all ages Albert Einstern anasema "the only way of understanding the world is to understand the nature, and live it"
so never change the nature, be proud of how you are. kuna watu wanachoma sindano yake makubwa
Ebola, ndui, ukimwi, surua, tetekuwanga, mapunye, etc, etc... yoooote hayo ni nature na yanasababishwa na virus au bacteria katika asili yake au impact yake ndani ya mwili wa mwanadamu. Na haya yote yanamadhara directly au indirectly kwenye mwili wa mwadamu. Mfano:
-- tetekuwanga inaweza kuleta makovu au madoa-doa ya kudumu kwenye mwili wa binadamu; sasa je, usitibu madoa hayo kwa sababu yamesababishwa na kitu asilia?
-- matiti makubwa yanaweza kusababishwa na hormonal imbalance inayoweza kutokana na mtu kuugua sana, ambako nako kunaweza kusababishwa na kuwa attacked na virus aina fulani. Sasa je, mtu huyo ayaache matiti yake katika hali hiyo eti sababu tu ni mwonekano wa mwili wake?
-- kuna upofu wa watoto unaosababishwa kwa magonjwa ya zinaa nyakati za ujauzito. Je, kusiwepo uchunguzi wa kuweza kuwawezesha watoto hao kuona (kama inawezekana) kwa sababu tu wamezaliwa hivyo?
-- magonjwa mengi na vilema vingi vinaambatana kutokana na hitilafu katika miili ya wazazi kulikosababishwa na virusi, bakteria, ajali, hitilafu za mionzi, urithi na sababu nyinginezo mbalimbali; matokeo yake ni watoto au uzao ambao huonekana unahitilafu za kurithi, i.e. vilema vya maumbile. Sasa, tuache kuchunguza au kurekebisha hitilafu hizo kwasababu tu watu hao wamezaliwa hivyo??
God gave us the wisdom, skill and power to tame our environment. Enendeni mkajaze dunia na kuitawala. Tusipofanya hivyo tutakuwa tunaenda kinyume na maandiko (kwa waaminio maandiko hayo).