Khaaaa...!!
Hahaha !! Mzee hajambo nataka nimuanzishie dozi ya hurbaKhaaaa...!!
Mzee anaendeleaje lakini?
Hope all is well...
20 na anekaribia 40 mbona ratio nzuri tuunapochukua mtoto wa miaka 20 wakati wewe unakaribia 40 tegemea haya
Inshallah... Mungu aendelee kumzidishia wepesi...
Babu Asprin kiuno chatakiwa kianze kufanya kazi sasa teh teh teh! Maana hii Hurba nilikua sijawahi isikia wallah yeye hunywa mchanganyiko wa tende na Maziwa,ila ngoja nimtafutie hiyo hurba tuimarishe mazoezInshallah... Mungu aendelee kumzidishia wepesi...
Sasa hiyo dozi unataka kumtengua kiuno?
Hata usipoweka hiyo Hurba, Maziwa na Tende pekee pia inasaidia sana! Wanaume acheni kunywa soda kunyweni vinywaji vinavyoeleweka
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama wana tatizo ila kinachotokea ni kwamba inapofikia kwenye suala la ngono wanaume wengi wanapenda kuonekana wapo sawa kama akisikia mwenzake anakwenda dakika 45 au nusu saa alafu yeye anakwenda dakika 10 anataka ajitahidi amfikie wakati ni miili miwili tofauti ya watu tofauti na malezi tofauti.Hii inadhihilisha kuwa wanaume wengi wana tatizo la nguvu za kiume.
Pole sana itakua tumbo lilijaa gesi ila ungeendelea kunywa lingezoeaNiliwahi changanya tende na maziwa nikawa najamba jamba tuu
Ndo dawa inafanya kazi sasa...jokes mkuu ila wakati mwingine maziwa hufanya tumbo lijae gas hasa kama hujala kituNiliwahi changanya tende na maziwa nikawa najamba jamba tuu
Hahahha umenichekesha sana... hakyamama hii hurba haijawahi kumwacha mtu salama...Babu Asprin kiuno chatakiwa kianze kufanya kazi sasa teh teh teh! Maana hii Hurba nilikua sijawahi isikia wallah yeye hunywa mchanganyiko wa tende na Maziwa,ila ngoja nimtafutie hiyo hurba tuimarishe mazoez
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1] [emoji1] hebu nifafanulie Sheikh wangu maana Dada yako nae mie muda umeenda japo sitaraji kuongeza watoto wengine ila haki yangu muhimuHahahha umenichekesha sana... hakyamama hii hurba haijawahi kumwacha mtu salama...
Angalia asije akazidiwa akafanya mambo hadharani...
Hahahaha....Chezea haki wewe??[emoji1] [emoji1] hebu nifafanulie Sheikh wangu maana Dada yako nae mie muda umeenda japo sitaraji kuongeza watoto wengine ila haki yangu muhimu
Sent using Jamii Forums mobile app
Soda inapunguza nguvu za kiume?[emoji23][emoji23]Hata usipoweka hiyo Hurba, Maziwa na Tende pekee pia inasaidia sana! Wanaume acheni kunywa soda kunyweni vinywaji vinavyoeleweka
Sent using Jamii Forums mobile app
Soda kusababisha Uzito wa mwili kuongezeka na kushindwa kuhema vizuri (kuhema juu juu) na pia ni moja ya visababishi vya ugonjwa wa kisukari, kazi ya mwanaume na hayo mwili hapo juu ni vitu viwili tofauti maana wakati wa kupanda mlima lazima utaishia njiani,endelea kunywa soda kaka maana mijanaume mingine mwapinga kila ushauri mwemaSoda inapunguza nguvu za kiume?[emoji23][emoji23]
Haki ikikosekana hasira huchua nafasi,shauriyoHahahaha....Chezea haki wewe??
Leo ndo nimejua kumbe dadaangu ulifaulu na kuwa daktari...Soda kusababisha Uzito wa mwili kuongezeka na kushindwa kuhema vizuri (kuhema juu juu) na pia ni moja ya visababishi vya ugonjwa wa kisukari, kazi ya mwanaume na hayo mwili hapo juu ni vitu viwili tofauti maana wakati wa kupanda mlima lazima utaishia njiani,endelea kunywa soda kaka maana mijanaume mingine mwapinga kila ushauri mwema
Sent using Jamii Forums mobile app
Ili mradi usifanye usaliti tafazali...
Soda kusababisha Uzito wa mwili kuongezeka na kushindwa kuhema vizuri (kuhema juu juu) na pia ni moja ya visababishi vya ugonjwa wa kisukari, kazi ya mwanaume na hayo mwili hapo juu ni vitu viwili tofauti maana wakati wa kupanda mlima lazima utaishia njiani,endelea kunywa soda kaka maana mijanaume mingine mwapinga kila ushauri mwema
Sent using Jamii Forums mobile app