Asante kwa kunisanifu[emoji1] [emoji1] ila mengine hayahitaji twende darasani ,ukishakua mama utadadisi kila kituLeo ndo nimejua kumbe dadaangu ulifaulu na kuwa daktari...
Sijakulazimisha unywe ngariba eeh! Hata mtoa post hajakulazimisha unywe, umesema vyema kua ni matatizo yanayoletwa kutokana na ulaji hata soda ni moja ya hivyo vilaji visababishi ndio maana tunaambiwa tule vitu asilia badala ya hivi vya viwandani. Asante"Mijanaume" hayo matatizo hayaletwi na soda,hayo matatizo yanaletwa kwa ulaji mbovu wa mtu. Kula vizuri,fanya mazoezi,kunywa soda,furahia mahusiano yako. Hii ndio dawa ya kuridhishana kwenye mapenzi.
Mwanaume hauwezi kukimbia 1km halafu unakunywa maziwa+hurba+tendw ni kujidanganya,hautatui tatizo hila unalizuia kwa kipindi kidogo.
Hahahahaa... sijakusanifu bana... maana umetoa darsa safi kabisa na ukweli mtupu...Asante kwa kunisanifu[emoji1] [emoji1] ila mengine hayahitaji twende darasani ,ukishakua mama utadadisi kila kitu
Sent using Jamii Forums mobile app
Asante bwanaHahahahaa... sijakusanifu bana... maana umetoa darsa safi kabisa na ukweli mtupu...
Sijakulazimisha unywe ngariba eeh! Hata mtoa post hajakulazimisha unywe, umesema vyema kua ni matatizo yanayoletwa kutokana na ulaji hata soda ni moja ya hivyo vilaji visababishi ndio maana tunaambiwa tule vitu asilia badala ya hivi vya viwandani. Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mkuu hii itaba itakufaa lkn wakat unatumia hii dawa inabid ujipe mda mrefu pasipo kufanya tendo la mdoa au kupiga punyeto mfn ht miez sita au ht mwaka mzm tokana na ttzo lko ili kuimarisha misul yko ya umen imarike vizur..vp kuhusu sisi tulioathilika na upigaji punyeto, itatufaa hii tiba?
Safi mkuu ..hurba. nzur sana kwa kuimarisha misul mwilin so akitumia itaimarisha na misul ya kulee..so mzunguko wa damu kwake utakuwa mzur sana.Babu Asprin kiuno chatakiwa kianze kufanya kazi sasa teh teh teh! Maana hii Hurba nilikua sijawahi isikia wallah yeye hunywa mchanganyiko wa tende na Maziwa,ila ngoja nimtafutie hiyo hurba tuimarishe mazoez
Sent using Jamii Forums mobile app
Hao mkuu wanamatatizo yao binafsi dawa za kisuna ni maana ya dawa.za asilia ambayo hayana kemikal wala nn na hiz hutengenezwa tokana na miti asili na hutengenezwa kiasil zaid hakiongezwi kitu wala hakipunguzwi kitu mkuu..kwaiyo ni dawa salama kbsaHizo dawa za kisuna zimefanyiwa tafiti kujua iwapo hazina athari kwenye figo?Maana wakati mwingine naona kuna watu wanakufa ghafla tu na walikuwa waumini wa hayo madawa yenu ya kisunna
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mazoez mpk ukimbie 1km mazoez yko meng pia mi mtumiaji wa dawa iyo lkn mazoez yng sio ya lasmi mazoez yng ni kutembea kwa mguu mara nying ni kupunguza matumiz ya usafir..lkn ni dawa bora kwngu."Mijanaume" hayo matatizo hayaletwi na soda,hayo matatizo yanaletwa kwa ulaji mbovu wa mtu. Kula vizuri,fanya mazoezi,kunywa soda,furahia mahusiano yako. Hii ndio dawa ya kuridhishana kwenye mapenzi.
Mwanaume hauwezi kukimbia 1km halafu unakunywa maziwa+hurba+tendw ni kujidanganya,hautatui tatizo hila unalizuia kwa kipindi kidogo.
Hahahaaa sawa mkuu.Mimi sina shida ya kuongeza nilizo nazo zinanitosha nisije baka bure..!
Sent using Jamii Forums mobile app
Mnakulaga nini mpk unapungukiwa na nguvu..!Hahahaaa sawa mkuu.
Hahaha asanteSafi mkuu ..hurba. nzur sana kwa kuimarisha misul mwilin so akitumia itaimarisha na misul ya kulee..so mzunguko wa damu kwake utakuwa mzur sana.